cpa issa masoud

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Bodi ya Simba SC mmekiri mmewauza wanachama kwa miaka 3, wajibikeni

    Mjumbe wa Bodi ya Simba SC CPA ISSA MASOUD akiongea na Waandishi wa habari Jana, amekiri kwamba shilingi bil. 20 alizoahidi mwekezaji Mohamed Dewij "Mo" hazijawahi kuwekwa popote Bali aligeuza fedha anazotoa Kwa matumizi ya kawaida (kununua mchicha, boxer na kandambili) ndo zihesabike kama...
  2. D

    Bodi ya Simba upande wa mashabiki wanataka kumtapeli Mo Simba yake

    Story hii ya CPA CPA Issa Masoud ni miongoni mwa Wajumbe waliongea na Waandishi na kueleza kuwa kuna vitu wanapishana na Muwekezaji MO Dewji kwa sababu vinakiuka utaratibu na matakwa ya kikanuni na sheria. โ€œHatuwezi kuwa na taasisi ambayo kila baada ya muda fulani watu wanajiuzulu, fedha zote...
  3. Wajumbe Bodi ya Simba upande wa Wanachama wagoma kujiuzulu

    Yaliyojiri kwenye mkutano ulliofanyika leo wa Wanachama Simba SC. ๐—ช๐—ฎ๐—ท๐˜‚๐—บ๐—ฏ๐—ฒ ๐˜„๐—ฎ๐—บ๐—ฒ๐—ด๐—ผ๐—บ๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐—ท๐—ถ๐˜‚๐˜‡๐˜‚๐—น๐˜‚ : Wajumbe wote wa bodi upande wa Wanachama wa Simba SC wenye 51% ya hisa kwa kauli moja wamesema kuwa HAWAJIUZU. Hawajiuzulu kwa sababu hawajafanya kosa lolote, wao wamejitoa sana kwa klabu sometimes...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ