cristiano ronaldo

Cristiano Ronaldo dos Santos Aveiro GOIH ComM (European Portuguese: [kɾiʃˈtjɐnu ʁɔˈnaɫdu]; born 5 February 1985) is a Portuguese professional footballer who plays as a forward for Serie A club Juventus and captains the Portugal national team. Often considered the best player in the world and widely regarded as one of the greatest players of all time, Ronaldo has won five Ballons d'Or and four European Golden Shoes, both of which are records for a European player. He has won 30 major trophies in his career, including seven league titles, five UEFA Champions Leagues, one UEFA European Championship, and one UEFA Nations League title. Ronaldo holds the records for the most goals (130) and assists (40) in the history of the UEFA Champions League. He is one of the few recorded players to have made over 1,000 professional career appearances and has scored over 700 senior career goals for club and country. He is also the second player to score 100 international goals, and the first European to achieve the feat.Born and raised in Madeira, Ronaldo began his senior club career playing for Sporting CP, before signing with Manchester United in 2003, aged 18. After winning the FA Cup in his first season, he helped United win three successive Premier League titles, the UEFA Champions League, and the FIFA Club World Cup; at age 23, he won his first Ballon d'Or. In 2009, Ronaldo was the subject of the then-most expensive association football transfer when signed for Real Madrid in a transfer worth €94 million (£80 million). There, he won 15 trophies, including two La Liga titles, two Copas del Rey, and four UEFA Champions League titles, and became the club's all-time top goalscorer. After joining Madrid, Ronaldo finished runner-up for the Ballon d'Or three times, behind Lionel Messi—his perceived career rival—before winning back-to-back Ballons d'Or from 2013–2014 and again from 2016–2017. After winning a third consecutive Champions League title in 2018, Ronaldo became the first player to win the trophy five times. In 2018, he signed for Juventus in a transfer worth an initial €100 million (£88 million), the highest ever paid by an Italian club and the highest ever paid for a player over 30 years old. He won the Serie A title in his first two seasons with the club.
A Portuguese international, Ronaldo was named the best Portuguese player of all time by the Portuguese Football Federation in 2015. He made his senior debut in 2003 at age 18, and has since earned over 160 caps, including appearing and scoring in ten major tournaments, becoming Portugal's most capped player and his country's all-time top goalscorer. He scored his first international goal at Euro 2004 where he helped Portugal reach the final. He assumed full captaincy in July 2008, leading Portugal to their first-ever triumph in a major tournament by winning Euro 2016, and received the Silver Boot as the second-highest goalscorer of the tournament.
One of the most marketable and famous athletes in the world, Ronaldo was ranked the world's highest-paid athlete by Forbes in 2016 and 2017 and the world's most famous athlete by ESPN from 2016 to 2019. Time included him on their list of the 100 most influential people in the world in 2014. Ronaldo is the first footballer, as well as only the third sportsman, to earn $1 billion in their career.

View More On Wikipedia.org
  1. errymars

    Cristiano Ronaldo anunua Ndege mpya Gulfstream G650 yenye thamani ya Bilioni 187

    https://fntaz.com/cristiano-ronaldo-anunua-ndege-mpya-yenye-thamani-ya-75-milion/
  2. Makonde plateu

    Nimekuwa addicted na Cristiano Ronaldo, yaani chochote anachotangaza nitajitahidi kukipata

    Wakuu kiukweli nipo addicted na Cristiano Ronaldo yaani wakuu chochote ambacho Ronaldo anakitangaza nipo tayari kukinunua kwa gharama yoyote ata akitangaza chupi au kondomu nipi tayari kununua aisee nakumbuka nilinunuaga kondomu kwa sababu niliona anaitangaza sijui ndiyo ugonjwa wa akili that...
  3. Mwl.RCT

    Cristiano Ronaldo and Mr. Beast Discuss Fame, Football, and the Future of Content

    From Football Pitch to YouTube Peak: Cristiano Ronaldo and MrBeast Discuss Fame, Football, and the Future of Content Introduction What happens when a football legend sits down with the king of YouTube? A fascinating exchange of insights, strategies, and perspectives on fame, success, and the...
  4. Nehemia Kilave

    Na hapa tutamlaumu Gamondi ? Acheni kina Cristiano Ronaldo na Messi wang'are

    Ingawa kwa kumuangalia Azizi ki hizi mambo zinaonekana sio zake kabisa
  5. Waufukweni

    Tetesi: Al-Hilal kumsajili Cristiano Ronaldo kama mbadala wa Neymar baada ya majeraha yake kuleta sintofahamu

    Majeraha ya mara kwa mara yanayomkumba nyota wa soka Neymar sasa yamezua sintofahamu kubwa juu ya hatima yake katika klabu ya Al-Hilal. Kulingana na ripoti ya hivi karibuni kutoka Fichajes, klabu hiyo ya Saudi Arabia inaangalia uwezekano wa kumuuza mchezaji huyo wa Brazil ambaye amekuwa...
  6. Waufukweni

    Cristiano Ronaldo asusia kupiga Kura na kuhudhuria sherehe za Ballon d’Or

    Vincent Garcia, Mhariri Mkuu wa France Football ambao ndio wamiliki wa tuzo za Ballon d'Or amebaki njia panda baada ya CR7 kuzikacha tuzo hizo. Pia, Soma: Rodri ashinda Ballon d’Or 2024, kiungo mkabaji wa kwanza kushinda tuzo hiyo Majina ya Vinicius Jr na Jude Bellingham yaondolewa kwenye Viti...
  7. Waufukweni

    Ronaldo anamtafuta mzee aliyetokwa machozi huku akitaja jina lake

    Cristiano Ronaldo, nyota wa Al-Nassr, anamtafuta mzee mmoja aliyeonekana katika video akimtaja kwa hisia, huku akitokwa na machozi. Katika video hiyo aliyo-post kwenye mtandao wa X (Twitter), Ronaldo ameomba kwa yeyote anayemfahamu mzee huyo amsaidie kumkutanisha naye. Mzee huyo alionekana...
  8. FaizaFoxy

    Cristiano Ronaldo Asilimu na sababu ni ya kushangaza

    Cristiano Ronaldo alisilimu na sababu ni ya kushangaza Hadithi Utangulizi: Hakuna mtu angetarajia kwamba mmoja wa wachezaji wakubwa wa mpira wa miguu katika historia, Cristiano Ronaldo, siku moja angesimama kwenye mimbari ya msikiti, akizungukwa na hadhira ya waumini, wakati akisoma Quran Tukufu...
  9. Waufukweni

    Ureno kuzindua Sarafu ya Euro 7 Kumuenzi Cristiano Ronaldo

    Serikali ya Ureno imepanga kuzinduzi sarafu mpya, CR7 Euro kumuenzi mfungaji bora wa timu yao ya taifa, Cristiano Ronaldo. Sarafu hii itakuwa ni ishara ya kuthamini mchango mkubwa wa Ronaldo kwa taifa la Ureno. Cristiano Ronaldo ndiye mfungaji wa muda wote wa timu ya taifa ya Ureno, akiwa...
  10. chama konokono

    Ureno yatoa sarafu yenye picha ya sura ya Cristiano Ronaldo

    Serikali ya Ureno imeripotiwa kuwa imetoa sarafu yenye picha ya sura ya Staa wa Taifa hilo Cristiano Ronaldo (39) kama ishara ya kutambua mchango wake katika Taifa hilo. Sarafu yenye sura ya Ronaldo inajulikana kwa jina la “CR 7” na thamani yake ni euro 7, serikali ya Ureno imefanya hivyo...
  11. Mkalukungone mwamba

    Cristiano Ronaldo: Kushinda Euro ni sawa na kushinda Kombe la Dunia tu

    Baada ya kufunga magoli 900 na kuwa mwanasoka wa kwanza kufanya hivyo Cristiano Ronaldo amesema Timu yake ya Taifa kushinda Euro ni sawa na kushinda Kombe la Dunia tu, huku akibainisha kuwa tayari ameshinda mataji mawili akiwa na Ureno ambayo aliyataka sana. Itakumbukwa Ronaldo Ronaldo...
  12. Waufukweni

    Maajabu ya Cristiano Ronaldo, afikisha magoli 900 michuano rasmi

    Cristiano Ronaldo amekuwa mchezaji wa kwanza wa kiume katika historia kufunga magoli 900 kwenye mechi rasmi. Amefikia rekodi hii ya kihistoria katika mechi ya UEFA Nations League kati ya Ureno na Croatia iliyochezwa Lisbon Alhamisi hii. Soma Pia: Lionel Messi aipiku rekodi ya Ronaldo kwa...
  13. Lady Whistledown

    Nani kuwarithi Messi na Ronaldo katika Ballon d'Or 2024?

    Kwa mara ya kwanza tangu mwaka 2003, nguli wa Soka Duniani, Lionel Messi na Cristiano Ronaldo hawamo kwenye orodha ya wachezaji walioteuliwa kuwania tuzo ya Ballon d'Or. Messi alishinda tuzo huyo Mara 8 huku Ronaldo akishinda mara 5 Orodha ya wachezaji 30 walioteuliwa imewajuisha Jude...
  14. Waufukweni

    Biashara kubwa zinazomilikiwa na Cristiano Ronaldo

    Cristiano Ronaldo sio tu gwiji wa soka bali pia ni mfanyabiashara aliye na aina mbalimbali za biashara zinazoendeleza ushawishi wake zaidi ya uwanjani. Chapa yake ya CR7 inajumuisha nguo, viatu, manukato, na biashara zingine kubwa. Kupitia biashara hizi, Ronaldo anahakikisha urithi wake...
  15. WAPEKEE_

    Fei Toto kama Cristiano Ronaldo, ukubwa una vita kubwa

    Vita ya pili ya dunia ilikuwa inaelekea kumalizika na Ujerumani kinara wa vita , ilikuwa dhahiri kwamba wamepoteza vita kilichobaki ilikuwa ni kusalimu amri. Mbaya zaidi , mshirika wao wa karibu , Finland, alikuwa amewasiliti dakika za mwisho wakiwa wamemsaidia kupambana na URUSI, baada ya...
  16. Manyanza

    Nyuma ya pazia watoto watatu wa Cristiano Ronaldo

    Mwanasoka bora duniani ambaye bado anawaacha Mapaparazi vinywa wazi juu ya ukweli wa watoto wake Mapacha (Eva na Mateo) na hata Cristiano Jr, wako wapi Mama za hawa watoto . Issue ya Mapacha hawa wawili kwa mujibu wa ripoti kutoka nchini Marekani, walizaliwa kwa 'surrogacy' yani mbegu za...
  17. DullyJr

    Cristiano Ronaldo: Saudi Pro League is more competitive than Ligue 1

    [emoji599] Cristiano Ronaldo: “𝐒𝐚𝐮𝐝𝐢 𝐋𝐞𝐚𝐠𝐮𝐞 𝐢𝐬 𝐛𝐞𝐭𝐭𝐞𝐫 𝐭𝐡𝐚𝐧 𝐋𝐢𝐠𝐮𝐞𝟏 already now, I’m sure of that" [emoji1210] ◉ “Saudi Pro League is more competitive than Ligue1, I can say that after one year spent there and I’m sure”. ◉ “We are better than French league already now”. ◉ “I feel so happy at Al...
  18. NEGAN

    Cristiano Ronaldo hatimaye ametupa taulo

    Ule mchuano mkali uliodumu kwa takribani miaka 18 wa wanasoka nguli kuwahi kutokea duniani wenye vipaji vya hali ya juu hatimaye unaelekea ukingoni. Si mwingine bali ni mchuano kati ya Lionel Messi na Cristiano Ronaldo. https://www.jamiiforums.com/threads/messi-vs-ronaldo-nani-zaidi.13334/...
  19. Greatest Of All Time

    Cristiano Ronaldo: Ligi ya Saudi Arabia ni bora kuliko Ligi ya Marekani (MLS)

    Mshindi wa tuzo za Ballon D’or mara 5, Cristiano Ronaldo amekaririwa akisema Ligi Kuu ya Saudi ni bora kuliko ile ya Marekani (MLS). “Nina uhakika 100% sitarudi tena kuchezea klabu yoyote ya Ulaya kwani nina furaha huku. Mimi nilifungua njia ya kuja huku, na sasa wachezaji wengi wanakuja...
  20. FaizaFoxy

    Cristiano Ronaldo asujudu baada ya kufunga goli muhimu

    Baada ya kupiga bao muhimu Ronaldo akashangilia kwa kusujudu kama wafanyavyo Waislam. Huu ni mwanzo wa Ronaldo kusilimu au ni raha za furaha iliyopitiliza (euphoria)? Tumewahi kumuona mara nyingi, kama si zote, kila Ronaldo anapopiga bao huwa na kawaida ya kufanya ishara ya alama ya msalaba...
Back
Top Bottom