crown media

Hallmark Media (formerly Crown Media Holdings) is an American media production company with corporate headquarters located in Studio City, California, and is a subsidiary of Hallmark Cards.
Hallmark Media consists of Crown Media Productions and its Hallmark Hall of Fame, and its "Family Networks"—including Hallmark Channel, Hallmark Movies & More, Hallmark Movies & Mysteries, Hallmark Drama, and streaming service Hallmark Movies Now.

View More On Wikipedia.org
  1. Kumbe Mtangazaji Mchambuzi Hans Rafael Kiburi chako chote cha Unazi wako ni kwakuwa umepata Ofa Kubwa Azam Media na karibuni unaachana na Crown Media?

    Mchambuzi mahiri Hans Rafael ameomba kuvunja mkataba wake na Crown FM 👑, hatua inayozua maswali kwa mashabiki wa uchambuzi wa michezo. Taarifa nilizozipata kutoka kwa chanzo changu cha uhakika zinaeleza kuwa Hans amepewa ofa nono na Azam Media, jambo lililomsukuma kuomba kuondoka Crown FM...
  2. Hivi Uongozi Wa Taji Media, Hua Unasikiliza Kipindi Chao Cha Michezo Cha Asubuhi...???

    Wakuu Habarini... Wakati Hii Redio Inakuja, Ilianza Kwa Kishindo Sana Na Wengi Tukafurahi Kwamba Sasa Tunapata Uwanda Mpana Wa Kupata Habari Toka Vyanzo Na Redio Mbalimbali. Ila Kuna Mbinu Ambayo Waliitumia Kwa Kushawishi Na Kuiba Wafanyakazi Wenye Uzoefu Toka Redio Zingine. Ni swala zuri...
  3. Procurement Associate at Crown Media February 2025

    Summary: Crown Media is a leading media company committed to delivering high-quality content and innovative solutions to its audience. As a growing organization, we strive to create an environment that fosters creativity, teamwork, and professional growth. We are excited to announce an...
  4. Crown Media zingatieni umakini wa maudhui, sio kukurupuka kuwa wa kwanza

  5. CROWN MEDIA IMEBADILIKA SANA

    Hii media ilivyoanzishwa tuliona kama ni mkombozi kwenye Tasnia hii kwa kutoa habari za ukweli na uhakika lakini ghafla imekuwa ndivyo sivyo... Toka imeingia ubia na AZAM MEDIA imebadilika sana maana tangu walivyoreport tukio la MAANDAMANO ya CDM imepoa sana... Wamepunguza kureport Taarifa za...
  6. Wasafi Media na Crown Media kila moja aidha inashabikia Yanga au Simba

    Salaam wanajukwaa, kwa maoni yangu lakini (naomba niwe tayari kurekebishwa na wanaoitwa wajuaji) Naona kabisa WASAFI FM/TV ni YANGA na CROWN FM/TV ni SIMBA. Swali 1; Je, ni permanent marketing strategy za wamiliki ili kupata views na listeners wengi zaidi? Swali 2; Je, ni timing tu na vitu...
  7. Crown Media ni kama wamepania sana

    Team ya Crown Media ni kama wapo serious na kazi kama watakuwa na consistency kwa muda mrefu basi ni wazi kuwa atachange tasnia ya media bongo Tz(game changer). King Kiba anastahili kupewa pongezi kuanzisha project kama hii sio jambo dogo licha ya uhitaji wa rasilimali muhimu kama fedha pia...
  8. Crown Media inatoa wapi pesa kuajiri wafanyakazi wake?

    Wakuu, Nimekuwa nikijiuliza maswali bila majibu mpaka najisemea media hasa radio station inalipa mno au watangazaji na wanahabari kwa ujumla hawana viwango vikubwa vya mishahara. Kama watangazaji hulipwa pesa nzuri, Crown Media imetoa pesa wapi kuweza kusajiri watangazaji kutoka radio station...
  9. M

    Jinsi Crown media ilivyoajiri. Ni somo kubwa kwa Graduates wanaotafuta ajira. Zama zimebadilika

    Habari wadau. Kwenye media industry ya Tanzania kuna media mpya imeanzishwa ambayo inasemekana inamilikiwa na Joseph Kusaga , salim kikeke wakishirikiana na msanii alikiba Kusaga ni mzoefu mmiliki wa media nyingi ikiwemo cloudsfm, wasafimedia etc. Mfumo wa kuajiri uliotumika kupata...
  10. Ali Kiba jipange kwenye content hizi drama wakati redio aina wasikilizaji ni utoto

    Radio ya Kiba na kikeke imekuja na style ya drama kujitangaza. Nawashauri wawekeze kwenye content ndio kila kitu kwenye media. Leo hii clouds na wasafi zina wasikilizaji wengi sababu zina content. Hao watangazaji wa kuiba kwa wengine ili mtengeneze story mjikane walimdodea Majizzo kina B 12...
  11. Mwijaku ajiunga na Crown Media

    Wakuu nasikia Mwijaku kashaikimbia Clouds Media Group na kashasaini Crown Media. Hivi huko kwa ndugu yetu Ally Kiba kuna nini cha ziada au teseme katenga mishahara minono kwa hawa watangazaji? Naona sasa Crown Media inakusanya talents zote kutoka Wasafi, Clouds, Efm na kwingineko. Hebu...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…