ct scan

A computed tomography scan (CT scan; formerly called computed axial tomography scan or CAT scan) is a medical imaging technique used to obtain detailed internal images of the body. The personnel that perform CT scans are called radiographers or radiology technologists.
CT scanners use a rotating X-ray tube and a row of detectors placed in a gantry to measure X-ray attenuations by different tissues inside the body. The multiple X-ray measurements taken from different angles are then processed on a computer using tomographic reconstruction algorithms to produce tomographic (cross-sectional) images (virtual "slices") of a body. CT scan can be used in patients with metallic implants or pacemakers, for whom magnetic resonance imaging (MRI) is contraindicated.
Since its development in the 1970s, CT scanning has proven to be a versatile imaging technique. While CT is most prominently used in medical diagnosis, it can also be used to form images of non-living objects. The 1979 Nobel Prize in Physiology or Medicine was awarded jointly to South African-American physicist Allan MacLeod Cormack and British electrical engineer Godfrey Hounsfield "for the development of computer-assisted tomography".

View More On Wikipedia.org
  1. A

    DOKEZO Mashine ya CT Scan Hospitali ya Mloganzila ni Mbovu kwa zaidi ya Miezi mitatu sasa, tatizo nini?

    Naandika nikiwa na huzuni sana hapa najiuliza ni uzembe wa Serikali au Uongozi wa Hospitali ya Mloganzila ulio chini ya Profesa Janabi au Dr Magandi... Mwaka jana 2024 nilikuja na mgonjwa wangu akihitaji huduma ya CT Scan lakini cha kushangaza nikaambiwa huduma haipatikani hapa mpaka Muhimbili...
  2. T

    Nini tofauti kati ya X-Ray, CT Scan, MRI, na zaidi

    ? 1) X-rays hutumia mionzi ya umeme kutoa picha za mifupa na miundo mikavu ndani ya mwili. Kawaida hutumiwa kugundua mavunjo, maambukizo, vimbe, na matatizo mengine. X-rays ni za haraka, bei nafuu, na zinapatikana kwa urahisi. 2) CT scans hutumia X-rays pamoja na usindikaji wa kompyuta wa hali...
  3. Je, CT Scan ya Figo ina madhara? Kuna idadi maalum ya kufanya CT Scan? Majibu yapo hapa

    JamiiForums iliwasiliana na Dkt. Hellen Makwani, Daktari Bingwa wa Saratani na Tiba Shufaa, ili kufafanua kwa undani madhara yanayoweza kusababishwa na CT scan, baada ya mtumiaji wa jukwaa kuuliza kuhusu athari za CT scan ya Figo - CT scan ya Figo ina madhara? Mtaalamu wetu alijikita katika...
  4. M

    CT scan ya Figo ina madhara?

    Je, kuna madhara yoyote kufanya CT scan ya Figo kuangalia kama Figo zina mawe au lah?
  5. Pre GE2025 Kutana na Mbunge wa CCM asiyejua CT SCAN

    Hawa Wabunge wenu huwa hawana uwezo, tukisema tunaambiwa tuna kashfu. Sasa angalia huyu Mama, sijui Mbunge wa Wapi huko, hajui CT SCAN anasema T scan, akili yake yote ameilekeza kumsifia Samia..... yaani ameweka kando akili yake ame-concetrate kwenye uchawa! Huyu ni Mzazi wa MTU na Mbunge wa...
  6. Msaada: Dawa ya nyama za pua

    Wakuu habari za Asubuhi, Natumaini wote mko wazima! Naomba mtu anefahamu Dawa au Suluhisho la tiba za Nyama za Puani kwasababu mwanzoni niliambiwa ni Surgery na nilifanya mwaka jana mwezi wa Tatu, lakini baada ya Miezi mitatu Tena tatizo likarudi nikaenda kucheki hospital kwa kufanya X-ray,CT...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…