cuba

Cuba ( (listen) KEW-bə, Spanish: [ˈkuβa] (listen)), officially the Republic of Cuba (Spanish: República de Cuba [reˈpuβlika ðe ˈkuβa] (listen)), is a country comprising the island of Cuba, as well as Isla de la Juventud and several minor archipelagos. Cuba is located in the northern Caribbean where the Caribbean Sea, Gulf of Mexico and Atlantic Ocean meet. It is east of the Yucatán Peninsula (Mexico), south of both the U.S. state of Florida and the Bahamas, west of Hispaniola, and north of both Jamaica and the Cayman Islands. Havana is the largest city and capital; other major cities include Santiago de Cuba and Camagüey. The official area of the Republic of Cuba is 109,884 km2 (42,426 sq mi) (without the territorial waters). The main island of Cuba is the largest island in Cuba and in the Caribbean, with an area of 104,556 km2 (40,369 sq mi). Cuba is the second-most populous country in the Caribbean after Haiti, with over 11 million inhabitants.The territory that is now Cuba was inhabited by the Ciboney Taíno people from the 4th millennium BC until Spanish colonization in the 15th century. From the 15th century, it was a colony of Spain until the Spanish–American War of 1898, when Cuba was occupied by the United States and gained nominal independence as a de factocode: lat promoted to code: la United States protectorate in 1902. As a fragile republic, in 1940 Cuba attempted to strengthen its democratic system, but mounting political radicalization and social strife culminated in a coup and subsequent dictatorship under Fulgencio Batista in 1952. Open corruption and oppression under Batista's rule led to his ousting in January 1959 by the 26th of July Movement, which afterwards established communist rule under the leadership of Fidel Castro. Since 1965, the state has been governed by the Communist Party of Cuba. The country was a point of contention during the Cold War between the Soviet Union and the United States, and a nuclear war nearly broke out during the Cuban Missile Crisis of 1962. Cuba is one of a few extant Marxist–Leninist socialist states, where the role of the vanguard Communist Party is enshrined in the Constitution.
Under Castro, Cuba was involved in a broad range of military and humanitarian activities throughout both Africa and Asia..
Culturally, Cuba is considered part of Latin America. It is a multiethnic country whose people, culture and customs derive from diverse origins, including the Taíno Ciboney peoples, the long period of Spanish colonialism, the introduction of enslaved Africans and a close relationship with the Soviet Union in the Cold War.
Cuba is a founding member of the United Nations, the G77, the Non-Aligned Movement, the Organisation of African, Caribbean and Pacific States, ALBA and the Organization of American States. It has currently one of the world's only planned economies, and its economy is dominated by the tourism industry and the exports of skilled labor, sugar, tobacco, and coffee. According to the Human Development Index, Cuba has high human development and is ranked the eighth highest in North America, though 72nd in the world in 2019. It also ranks highly in some metrics of national performance, including health care and education. It is the only country in the world to meet the conditions of sustainable development put forth by the WWF. Cuban government policies have largely eradicated hunger and poverty according to the World Food Programme and Cuba boasts the lowest malnutrition death rate in Latin America as a result.International non-governmental organizations and experts consider Cuba as an authoritarian regime, without free and fair multi-party competitive elections and have accused Cuban government of numerous human rights abuses, including short-term arbitrary imprisonment and jailing of political opponents, purges and curtailed press freedom.

View More On Wikipedia.org
  1. J

    PICHA: Namna Spika wa Bunge la Cuba anavyofanana na M|Kiti Steven Wassira

    WASIRA AZUNGUMZA NA SPIKA WA JAMHURI YA CUBA, OFISI NDOGO YA CCM LUMUMBA.* Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (Bara), Ndg. Stephen Wassira amekutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Baraza la Taifa na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Cuba Esteban Lazo Hernandez na ujumbe wake waliofika...
  2. Chifu mkuu

    Wasira afanya mazungumzo na spika wa Cuba

    By Maulid Mmbaga , Nipashe MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Stephen Wasira amekutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Baraza la Taifa na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Cuba Esteban Lazo Hernandez na ujumbe wake. Kwa mujibu wa taarifa ya CCM Wasira amefanya mazungumzo na ujumbe...
  3. Yoda

    Cuba wana kingine kipi cha maana zaidi ya sekta bora ya Afya?

    Kila inapozungumziwa Cuba mara nyingi sifa zake huwa ni mfumo mzuri wa afya tu ulioweza kuzalisha madaktari wengi hadi wa ku export na sekta ya uzalishaji madawa iliyoshamiri. Huwezi kusikia kingine cha kuvutia na kusisumua huko Cuba. Hivi karibuni ndio nilimsikia Balozi Polepole akija na jambo...
  4. Down To Earth

    Waliosoma CUBA a.k.a Legends ndio wataelewa hizi Picha

    Kuna ukweli mkali sana ambao utaeleweka kwa wachache.
  5. The Watchman

    Mliosomea Cuba Hii sanamu ya Mwl. Nyerere iliyozinduliwa huko Cuba inafanana na Mwalimu kweli?

    Uzinduzi huo ulifanyika Novemba 8, 2024 ukishuhudiwa na Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Damas Ndumbaro ambaye amemwakilisha Rais Samia Suluhu Hassan pamoja na Naibu Waziri, Wizara ya Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Cuba, Anayansi Camejo na baadhi ya viongozi wengine kutoka mataifa yote...
  6. Mindyou

    Nimelia sana baada ya kuona sanamu jipya la Mwalimu Nyerere nchini Cuba. Waziri Ndumbaro naomba ujitafakari!

    Wakuu, Hivi inakuwaje kila mara hawa viongozi wa serikali wakitaka kuchonga sanamu la baba wa taifa huwa wanakosea? Kuna hili sanamu jipya la Mwalimu Nyerere huko nchini Cuba kiukweli imenishangaza sana kuona Waziri Ndumbaro amelipitisha na kuona kuwa linafaa. Soma pia: Sanamu ya Abraham...
  7. Suley2019

    Rais Samia aahirisha ziara yake ya Cuba

    TAARIFA KWA UMMA KUAHIRISHWA KWA ZIARA YA MHE. DKT. SAMIA SULUHU HASSAN, RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, ILIYOKUWA IFANYIKE NCHINI CUBA Havana, 07 Novemba, 2024 Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki inapenda kuutaarifu umma kwamba ziara ya kitaifa ya Mhe. Dkt...
  8. chiembe

    Ziara za Cuba dhidi ya vikwazo vya Marekani dhidi ya Cuba, balansi inapatikana wapi?

    Ni swali ambalo nimejiuliza kwa muda kidogo. Tunapataje uwiano katikati ya mambo haya?! Bepari atanuna, but na sisi tuko non aligned, Sijui tinafanyaje
  9. L

    Rais Samia kuisimamisha Dunia kutokea Cuba hapo Kesho

    Ndugu zangu Watanzania, Siku ya kesho Zaidi ya Nusu Billion ya watu Duniani Kwote wataelekeza macho na masikio yao Nchini Cuba .pale Ambapo kinara wa Dunia wa kupigania matumizi ya nishati safi ya kupikia Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi...
  10. Ojuolegbha

    Waziri Kombo atembelea maonesho ya kimataifa ya biashara ya Cuba

    Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Mahmoud Thabit Kombo tarehe 05 Novemba, 2024 ametembelea Maonesho ya Kimataifa ya Biashara yanayoendelea jijini Havana. Maonesho hayo yamewakutanisha wafanyabiashara wa ndani na Kimataifa ambao wanatangaza huduma na bidhaa zao ili...
  11. Ojuolegbha

    Waziri Kombo aongoza kikao cha maandalizi ya ziara ya Rais Samia nchini Cuba

    Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo ameongoza kikao cha Ujumbe wa Serikali ya Tanzania uliowasili Havana, Cuba kwa ajili ya maandalizi ya ziara ya kitaifa ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan nchini humo...
  12. L

    Rais Samia Mgeni Rasmi Kongamano la Kiswahili Havana Cuba Novemba 7-10, 2024

    Ndugu zangu Watanzania, Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan, Anatarajiwa kuwa mgeni Rasmi katika kongamano la kwanza la kiswahili kimataifa litakalofanyika Havana Nchini Cuba kuanzia Tarehe 7 November hadi 10 November. Ambapo kongamano hilo...
  13. Stephano Mgendanyi

    Rais Samia Kuwa Mgeni Rasmi Kongamano la Kiswahili Nchini Cuba

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika Kongamano la Kwanza la Kiswahili la Kimataifa litakalofanyika jijini Havana, nchini Cuba, kuanzia Novemba 7 hadi 10, 2024. Kongamano hilo linatarajiwa kuhudhuriwa na washiriki takriban 600...
  14. Suley2019

    Cuba: Ofisi na Shule zafungwa kutokana na tatizo la Kukatika kwa umeme kwenye Kisiwa hicho

    HAVANA (AP) — A massive outage left millions of Cubans without power and prompted the government Friday to implement emergency measures to slash demand, including suspending classes, shutting down some state-owned workplaces and canceling non-essential services. Cuban officials said that the...
  15. RIGHT MARKER

    Hata makondakta wa daladala wana D2, na kwa hili wamesomea CUBA

    Mhadhara 31: Leo naomba niwajuze abiria wa daladala jambo ambalo makondakta wamesomea CUBA, na jinsi ambavyo wanatumia vizuri D2 za shuleni. 1. Matumizi ya D2: Kumbukumbu walizonazo makondakta (tingo) za kuwakumbuka abiria wote ambao tayari wamewatoza nauli, na abiria ambao bado hawajawatoza...
  16. Kurunzi

    Abdoulquarim Malisa: Sijui nilitaka Kusema Nini (Kama Umesoma Cuba)

    Nakumbuka; Nikiwa mdogo mdogo hivi kuna "BIBI" mmoja alifariki pale kijijini, yule bibi alikuwa anasadikika ni mshirikina "mchawi". Wakati ulipowadia wa kukaribia kufariki, yaani anakaribia kukata roho, alikuwa akiweweseka sana, wale ndugu zake waliokuwa wakimuuguza walimsikia akiongea maneno...
  17. Mkunazi Njiwa

    Balozi Gertrude Mongella: Kilichonivutia Cuba ya Fidel Castro ni Wafungwa Magerezani Kufunguliwa Akaunti ya Fedha za Kujikimu Mwisho wa Vifungo vyao

    Rais wa kwanza wa African Union Committee. Rais wa kwanza wa Pan African Parliament. Balozi wa Tanzania nchini India bibi yetu comrade Gertrude Mongella ameliona hilo huko ughaibuni kwa Fidel Castro ,je kwetu linalishindikana ?!! Tufanyeje ili tuzidi kuboresha hali za wafungwa baada ya...
  18. lee Vladimir cleef

    Sasa tumepata majibu baada ya Urusi kupeleka nyambizi Cuba

    Mimi naamini kua Kwa Sasa Urusi Iko vitani na NATO. Nae USA ni Mkuu wa NATO. Lkn wapo pro NATO wanakuambia hapana Urusi Iko vitani na Ukraine peke yake,NATO haimo,wanaenda mbele Wana sema nchi ndogo TU ya Ukraine Urusi imechukua miaka miwili kuishinda je hii Urusi ndio ya kupigana na NATO...
  19. green rajab

    Marekani nayo yatuma Nyambizi Guantanamo bay Cuba

    Kwa hofu ya kupewa kipigo cha mbwa mwizi Marekani imejitutumua kukwepa aibu na kutuma Nyambizi Guantanamo bay #BREAKING – 🚨🇺🇸⚡The US sends an attack submarine, USS Helena (SSN-725) to Guantanamo Bay, Cuba, while Russian Nuclear-powered submarine Kazan is in Havana.
  20. Sir John Roberts

    Urusi yapeleka Manowari zake za kivita Cuba. Wamarekani wachanganyikiwa

    Katika hali inayoelekea kuwachanganya wamarekani Urusi imetuma manowari zake zaidi ya 8 katika pwani ya marekani nchini Cuba sababu ikitajwq ni maandalizi ya mazoezi ya pamoja. Hii ni mara ya kwanza kwa urusi kupeleka meli za kivita kwa kiwango hiki katika nchi ya Cuba. Wakati huo huo rais...
Back
Top Bottom