Wakuu,
1. Ezra John Chewelsea – Mbunge wa Biharamulo Magharibi
Chama: Chama Cha Mapinduzi (CCM)
Kura katika Uchaguzi wa 2020: 40,526 (alishinda dhidi ya Mbelwa Petro Zimbia wa CHADEMA)
Elimu
Shule ya Msingi Umoja (1995)
Shule ya Ufundi ya Bwiru Boys, Mwanza (CSEE, 1999)
Shule ya Sekondari ya...