cyber security

  1. 3

    Ipi ni bora katika kujiajiri na kutengeneza pesa nyingi kati ya software developer na Cyber security

    Habari zenu ndugu polen na majukumu mimi niliuw na penda kujua kati ya software developer na Cyber security ipi inaweza kukutengenezea utajiri mkubwa kwa Tanzania hapa
  2. Meneja Wa Makampuni

    Kuna mtu amehack website yetu na kutuvuta tuanze kutoa huduma ya cyber security

    Habari wakuu, Ni jambo la kushangaza mtu anahack website yetu anaanza kufuta vitu vyetu. Sio uungwana kabisa lakini tuna mshukuru sana ametuongezea uwezo wa ziada na leo tunatangaza kwamba tutaanza kutoa huduma ya cyber security.
  3. nyambuneb

    Cyber Security Officer needed

    MWF TANZANIA We are seeking the services of a cyber security expert in Dar es salaam, see below and apply if you are suited for the role. Role Purpose The role holder will be primarily responsible for identifying potential threats and vulnerabilities to operational environments. Projects here...
  4. W

    Chukua Hii: Mitandao ya Kijamii inatuunganisha, ila kuwa makini unapoitumia

    Taarifa unazoweka mitandaoni haziwezi kusahaulika, hata kama umeamua kuzifuta. Hivyo, ni muhimu kuwa makini na jinsi unavyotumia mitandao ya kijamii. Kumbuka kuwa taarifa unazochapisha zinaweza kutumiwa kuiba utambulisho wako, kufanya ulaghai, au hata kudukuliwa na kuishia mikononi mwa watu...
Back
Top Bottom