cybersecurity

  1. Duniani nzima imetetereka leo kutokana na hitilafu ya mtandao kwenye kampuni ya Microsoft, Tanzania tumejifunza nini?

    Wakuu, Tunategemea mambe mengi toka kwa Wazungu, leo mifumo ya Microsoft imesumbua mambo mengi yamesimama, wote wanaotumia products za Microsoft wametikiswa na suala hili, swali ni je, sisi wategema wa Wazungu tumejifunza nini? Tunafanyaje kupata ujuzi huo na kuanzisha vya kwetu? Tuna program...
  2. Mfumo wa TEHAMA watetereka dunia nzima baada ya Kampuni ya Microsoft kupata changamoto kwenye mifumo yako

    Taarifa inayoendelea kwa kasi sasa ni IT kuvurugika dunia nzima. Summary * Major IT outages have hit industries across the world; almost 1,400 flights are cancelled and banking, healthcare and shops affected * Cybersecurity firm Crowdstrike says a "defect" in one of its software updates hit...
  3. Uzi maalumu kwa ajili ya kujifunza Cybersecurity,Jinsi ya kujizuia kupata Cyber Attack Pia Ethical Hacking kutumia Termux na Linux enviroment

    Dunia ya sasa imejaa technological advancements nyingi ambazo zimeathiri kila eneo la maisha yetu, kutoka kutuma na kupokea pesa Dirisha la mhasibu hadi kufanya hivyo mtandaoni tena bila kuonana na mtu yoyote... Kutoka kusoma chini ya mti hadi kusoma ukiwa sebuleni kwako au chumbani kwako...
  4. Nimewatengenezea hii wana cybersecurity

    Hello bosses, Nimekua nashiriki kwenye bug bounty programs na Pentesting lkn nikaja kugundua changamoto kubwa ni vifaa(software tools & scanners) pamoja na poor reporting. Yaan pentesting project nloifanya miezi sita ilopita ilibidi niianze upya kwa sababu tu sikua na report ambayo ni endelevu...
  5. Advance Dll Hijacking For Blackhats And Cybersecurity Experts [ MODULE 2 ]

    Niaje wanaaaaaaaaaaaaaa Thefreedom hapa sasa leo embu tujaribu kuendelea pale ambapo tuliiiishia jana . kama wewe ni mgeni basiii tupo hapa kudiscuss issue nzima ya dll HIJACKING fud backdoorS ambazo zinapelekea kuhack windows system silently. unaweza jiuliza nini maaaana ya DLL HIJACKING ...
  6. Wito fanya ufutaji wa akaunti zako kwenye applications au kompyuta kabla huja uninstall programu husika

    Sitakupa maelezo marefu sana ya kupoteza muda wako, ila umakini na faragha ni muhimu sana nyakati hizi za kimageuzi ya mitandao na ukuaji wa teknolojia. Kwa watumiaji wa vifaa ya kimtandao kama simu na kompyuta iwe ya mezani au mipakato jaribuni sana kuwa na umakini ikiwa utaacha kutumia...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…