cyril ramaphosa

Matamela Cyril Ramaphosa (born 17 November 1952) is a South African politician serving as the fifth President of South Africa since 2018 and President of the African National Congress (ANC) since 2017. Previously an anti-apartheid activist, trade union leader and businessman, Ramaphosa served as Deputy President to President Jacob Zuma and Chairman of the National Planning Commission from 2014 to 2018.
He has been called a skillful negotiator and strategist who acted as the ANC's Chief Negotiator during South Africa's transition to democracy. Ramaphosa built up the biggest and most powerful trade union in the country – the National Union of Mineworkers (NUM). He played a crucial role, with Roelf Meyer of the National Party, during the negotiations to bring about a peaceful end to apartheid and steer the country towards its first fully democratic elections in April 1994. Ramaphosa was Nelson Mandela's choice for future president. Ramaphosa is well known as a businessman, and his estimated net worth is over R6.4 billion ($450 million) as of 2018, with 31 properties and previously-held notable ownership in companies such as McDonald's South Africa, chair of the board for MTN and member of the board for Lonmin.
Ramaphosa served as the Deputy President of South Africa from 2014 to 2018. He was later elected President of the African National Congress (ANC) at the ANC National Conference in December 2017. Ramaphosa is the former Chairman of the National Planning Commission, which is responsible for strategic planning for the future of the country, with the goal of rallying South Africa "around a common set of objectives and priorities to drive development over the longer term". He became President of South Africa without a general election, after Jacob Zuma resigned. Ramaphosa was elected president by the National Assembly to his first full term on May 22 following the ANC's victory in the 2019 South African general election. In 2020, Ramaphosa began serving as Chairperson of the African Union.Despite his credentials as an important proponent of his country's peaceful transition to democracy, he has also been criticised for the conduct of his business interests although he has never been indicted for illegal activity in any of these controversies. Controversial business dealings include his joint venture with Glencore and allegations of benefitting illegally from coal deals with Eskom which he has staunchly denied, during which Glencore was in the public spotlight for its tendentious business activities involving Tony Blair in the Middle East; his son, Andile Ramaphosa, has also been found to have accepted payments totalling R2 million from Bosasa, the security company implicated in corruption and state capture by the Zondo commission; and his employment on the board of directors of Lonmin while taking an active stance when the Marikana Massacre took place on Lonmin's Marikana premises. On 15 August 2012 he called for action against the Marikana miners' strike, which he called "dastardly criminal" conduct that needed "concomitant action" to be taken. He later admitted and regretted his involvement in the act and said that it could have been avoided if contingency plans had been made prior to the labour strike.

View More On Wikipedia.org
  1. Waufukweni

    M23 waliamsha tena DRC, Wauteka mji wa Nyabibwe, Jimbo la Kivu Kusini

    Siku mbili baada ya waasi wa M23 kutangaza kusitisha mapigano dhidi ya vikosi vya serikali ya DRC kwa sababu za kibinadamu, kundi hilo limeuteka Mji wa Nyabibwe, Jimbo la Kivu Kusini. Kwa mujibu wa shirika la habari la Reuters, waasi hao wameudhibiti mji huo uliopo kando ya Ziwa Kivu, takriban...
  2. Mindyou

    POTOSHI Cyril Ramaphosa: Trump usitupangie cha kufanya, hauimiliki Afrika Kusini. Jishughulishe na Marekani, tuache na matatizo yetu

    Baada ya Trump kutangaza kusitisha misaada nchini humo kisa madai ya ukiukwaji wa haki za Binadamu na Wazungu kunyanyaswa na kupokonywa ardhi wanazomiliki ambapo Ramaphosa amemtaka Trump aache kuingilia mambo ya Afrika Kusini kwakuwa hayamuhusu na kusema ardhi ya Afrika Kusini sio ya Trump...
  3. Mindyou

    Trump atishia kusitisha misaada ya Marekani nchini Afrika Kusini kwa kunyakua ardhi kutoka kwa baadhi ya watu

    Rais wa Marekani, Donald Trump, ametishia kusitisha ufadhili wa Marekani kwa Afrika Kusini, akidai kuwa "tabaka fulani za watu" nchini humo wanatendewa vibaya sana. Katika chapisho lake kwenye mtandao wake wa kijamii Truth Social siku ya Jumapili, Trump amesema kuwa Afrika Kusini "inanyakua...
  4. Minjingu Jingu

    Afrika Kusini wasijaribu kutaka kuzichapa na Rwanda. Watachakazwa vibaya sana

    Kagame anajiamini anajua anachofanya. Kumwambia SA kuwa "ukitaka kupigana njoo...... " Anajua kuwa SA. hawana jeshi lenye nidhamu na pia hawaifahamu Congo na Misitu yake. Huwezi pigana na Kagame katika misitu ya Congo atakuchapa. Anaifahamu vizuri. Labda sasa mpigane kwa kurushiana mabomu tu...
  5. K

    Kagame: Rwanda is ready for a confrontation with South Africa if necessary!

    Jinsi Kagame anavyojibizana na Ramaphosa naona kama anajisahau sana Sidhani kama Rwanda itaiweza South Africa. Hii ni kutoka X (Twitter) I held two conversations this week with President Ramaphosa on the situation in Eastern DRC, including earlier today. What has been said about these...
  6. kavulata

    Kama Mwl. Nyerere angekuwa hai angemwambia Cyril Ramaphosa acha ujinga, mwache Zuma

    Viongozi wanaoheshimika wamekwisha Afrika. ANC kitasambaratika kwasababu ya kukamiana wenyewe kwa wenyewe na kutengeneza a vicious cycle. Ramaphosa na mbeki wanamsulubu legendary mwenzao Zuma, dhambi hii itaimaliza South Africa na hasa chama tawala ANC. Kama Mwl Nyerere (RIP) angekuwepo bila...
  7. Mindyou

    Cyril Ramaphosa: China haina lengo la kuiingiza Afrika kwenye mtego wa madeni

    Rais wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa hivi karibuni alidokeza kuwa hakubaliani na dhana ya kwamba uwekezaji wa Taifa la China barani Afrika unapelekea bara hili katika "mtego wa madeni," Ramaphosa alitoa kauli hiyo wakati wa mkutano wa kilele cha China na Afrika huko Beijing, ambapo wajumbe...
  8. L

    Rais Samia arejea nchini akitokea Afrika Kusini kuhudhuria uapisho wa Rais Cyril Ramaphosa

    Ndugu zangu Watanzania, Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan, amerejea na kuwasili salama kabisa akiwa mwenye furaha, bashasha na tabasamu katika ardhi ya nchi yake usiku huu akitokea Afrika ya Kusini. Ambako alikwenda kuhudhuria sherehe za...
  9. OKW BOBAN SUNZU

    Rais Samia kwenda Afrika Kusini kwenye uapisho wa Ramaphosa

    Rais wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan anatarajia kusafiri kuelekea Jamhuri ya Afrika Kusini leo jioni kwa ziara ya kikazi ya siku moja kushiriki hafla ya uapisho wa Rais Mteule, Matamela Cyril Ramaphosa ambaye amechaguliwa kuwa Rais wa Nchi hiyo. Rais Mteule Matamela Cyril Ramaphosa...
  10. and 300

    Ramaphosa Kuapishwa J5, Union Building

    Rais Cyril Ramaphosa Rais Cyril Ramaphosa anarajiwa kuapishwa kama Rais wa Afrika Kusini kwa awamu yake ya pili. Kama mwanachama wa SADC mwenzetu twendeni tukashuhudie na kumpongeza. NB. Wasanii, Wastaafu andaeni suti. PIA SOMA - Afrika Kusini: Cyril Ramaphosa achaguliwa kuwa Rais kwa awamu...
  11. Gemini AI

    Afrika Kusini: Cyril Ramaphosa achaguliwa kuwa Rais kwa awamu ya pili

    https://www.youtube.com/live/PTbikZP3ljI?feature=shared ========= UPDATE: Mjumbe wa Chama Tawala cha African National Congress (ANC), Cyril Ramaphosa, amechaguliwa tena na Wabunge kuwa Rais wa taifa hilo kwa awamu ya pili Licha ya ushindi huo, Ramaphosa anakwenda kuongoza Serikali iliyoundwa...
  12. Joshua Panther

    Bunge jipya la Afrika Kusini litakutana Ijumaa wakati vyama vinang'ang'ania kuunda Serikali ya mseto

    Bunge jipya la Afrika Kusini litakutana kwa mara ya kwanza siku ya Ijumaa, huku vyama vikijaribu kuunda serikali ya mseto baada ya uchaguzi wa hivi majuzi kutotoa mshindi wa moja kwa moja. "Kikao cha kwanza cha Bunge kitakuwa Ijumaa, 14 Juni 2024," aliandika Jaji Mkuu Raymond Zondo katika agizo...
  13. The Sheriff

    Rais Cyril Ramaphosa kuzuru Uganda katika ziara ya kuimarisha uhusiano kati ya nchi hizo mbili

    Rais wa Afrika Kusini anaanza ziara ya siku mbili nchini Uganda leo, miezi baada ya nchi yake kutuma wanajeshi chini ya Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) kupambana na waasi wa M23 mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Wizara ya Mambo ya Nje ya Uganda ilisema kuwa ziara ya...
  14. Lady Whistledown

    Rais wa Afrika Kusini amsimamisha kazi Mkuu wa Kitengo cha Kupambana na Ufisadi nchini humo

    Wakili Busisiwe Mkhwebane anadaiwa kutawaliwa na shutuma za upendeleo wa kisiasa ambapo idadi kubwa ya uchunguzi wake toka ateuliwe mnamo 2016, umekataliwa na Mahakama, na hivyo kuzua maswali kuhusu kustahili kwake kushika wadhifa huo. Taarifa iliyotolewa na msemaji wa Rais Ramaphosa inasema...
  15. Lady Whistledown

    Rais Cyril Ramaphosa afunguliwa mashtaka ya rushwa na utekaji nyara

    Aliyekuwa mkuu wa kijasusi nchini Afrika Kusini Arthur Fraser amemshutumu Rais Cyril Ramaphosa kwa utekaji nyara na rushwa katika kesi ambayo ameisajili kwa polisi. Amesema kesi hiyo inahusiana na madai ya jaribio la wizi wa bilioni 9,316,000,000 mnamo 2020 katika moja ya mali za Rais huyo na...
  16. Analogia Malenga

    #COVID19 Rais Ramaphosa akutwa na maambukizi ya COVID-19

    Rais wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa amepimwa na kukutwa na Covid-19 na anatibiwa kwa dalili zisizo kali. Bw Ramaphosa alianza kujisikia vibaya siku ya Jumapili baada ya kuondoka katika ibada ya kumbukumbu ya Rais wa mwisho wa enzi za ubaguzi wa rangi wa Afrika Kusini FW De Klerk mjini Cape...
  17. jingalao

    Cyril Ramaphosa on Smart Partnership

    Huu ni ukweli mchungu kwa Mabeberu .
  18. Sam Gidori

    #COVID19 Ramaphosa: Hakuna sababu za Kisayansi za kuweka marufuku ya kusafiri kwa nchi za Kusini mwa Afrika

    Rais wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa ametoa wito kwa nchi za Ulaya na Marekani zilizoweka vikwazo vya usafiri kwa Mataifa ya Kusini mwa Afrika yaliyobainika kuwa na maambukizi ya aina mpya ya Virusi vya Corona kuondoa vikwazo hivyo. Katika hotuba yenye urefu wa dakika 29, Rais Ramaphosa...
  19. Miss Zomboko

    #COVID19 Rais Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini ameongeza wiki mbili nyingine za “lockdown”

    Rais Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini ameongeza wiki mbili nyingine za “lockdown” kama njia mojawapo ya kupunguza maambukizi ya Covid- 19 nchini humo. Hatua hiyo imekuja kutokana na kuongezeka kwa idadi ya watu waliopata maambukizi ya ugonjwa wa Corona nchini Afrika ya Kusini. Ramaphosa alisema...
  20. beth

    Afrika Kusini: Waziri wa Afya apewa likizo maalum na Rais Ramaphosa kufuatia tuhuma za ufisadi

    Waziri wa Afya, Dkt Zweli Mkhize amepewa likizo maalum na Rais Cyril Ramaphosa kufuatia tuhuma za ufisadi, ikidaiwa wasaidizi wake wawili wamefanya ubadhirifu wa zaidi ya Dola za Marekani Milioni 6 ambazo ni Fedha za Umma kwa ajili ya COVID19. Kumekuwa na malalamiko kuwa maelfu ya Mikataba...
Back
Top Bottom