Huyu ni mmoja kati ya watu wachache wenye uwezo mkubwa kuwahi kutokea duniani.
Kazaliwa 15April 1452 na kufariki 2May 1519. Huyu jamaa hakuwahi kanyaga shule ila alijaliwa kila aina ya kipaji
Music, Uchoraji, Fasihi, Uhandisi, Geology, Mathematics, Astronomy, Botany, History, Cartography. The...