dabi kariakoo

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Ubaya Ubwela

    Tetesi: Tetesi mechi Yanga Vs Simba imepangwa kufanyika baada mapumziko ya michezo ya kimataifa na mgeni rasmu ataku Rais Samia Suluhu Rais

    Tetesi Zinasema Mechi kati ya vigogo hao itachezwa baada mapumziko ya mechi za kimataifa Na mgeni rasmi inasemekana atakua rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassani Tuone sasa kama kuna mtu atagomea kuleta timu uwanjani
  2. holoholo

    Kibu Denis Kuikosa Kariakoo Derby Jumamosi hii

    Wakuu, Taarifa za kuaminika ndani ya uongozi wa klabu ya Simba SC zinaeleza,Kibu Denis amepata majeraha ya kifundo cha mguu,yatakayomuweka nje kwa takribani wiki 6,hivyo atakosekana uwanjani siku ya jumamosi, Ikumbukwe Kibu D ni mchezaji chaguo la kwanza la kocha Fadlu Davis katika karibia...
Back
Top Bottom