Wazaramo habari zenu.
Sisi wa bara Tulivyokuja huku pwani ya Dar-es-salaam ndio tukajua hii mboga inaitwa dagaa mchele.
Sawa tunajua kwenye utafutaji kigetogeto lazima ushawahi kula sana Dagaa mchele, mixer tembele na ugali.
Sasa leo nimewaza na nimeumia sana juu ya aina ya ulaji wetu sisi...