daladala buza

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Kero ya usafiri wa umma kwa wakazi wa Buza

    Habari Mabibi na Mabwana. Naomba nisiwachoshe niende moja kwa moja kwenye kero, Kero hii inihusiana na usafiri wa umma kwa wakazi wa Buza ( kwa Lulenge hadi Kanisani). Hapo awali usafiri wa daladala kutokea maeneo tofauti kwenda Buza gari zilikuwa zinaenda hadi Buza Kanisani ( mwisho wa gari)...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…