daladala za mbezi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. A

    KERO LATRA Dar na Pwani kusitisha vibali vya daladala za Mbezi kwenda Bagamoyo kwa madai zimepewa vibali kimakosa. Je, wamewatendea abiria haki?

    Kumekuwa na changamoto wakati wa kuhuisha leseni za LATRA Kwa waliopata mwaka 2023 ikidaiwa kuwa tumepewa kimakosa, huku tukifanya kazi kwa takribani miaka 2, Mwaka wa tatu huu unaambiwa umepewa kimakosa, Je, LATRA imewatendea haki wamiliki na Abiria wanaosafiri/kufanya shughuli katika njia hii...
  2. C

    Daladala za Mbezi mwisho - Makumbusho / Kawe kupitia Goba nazo zina wale dunga dunga?

    Yaani nimejikuta nacheka sana ndani ya daladala baada ya kumuona mwamba akigandamizia zipu yake kwa abiria wa kike aliyekuwa mbele yake na kila dada wa watu alipokuwa akisogea mwamba nae alikuwa akiambaa nae tu na chaki mpaka dada alipomshtukia na kumgeukia huku akimsonya huku mwamba akijikausha...
Back
Top Bottom