dalili za ukimwi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Sema ugonjwa wowote unaokusumbua wataalamu wa afya watakusaidia

    Humu jukwaani Kuna madaktari,manesi,wakunga, wataalamu wa tiba mbadala,na wabobezi wa masuala ya afya,hivyo Uzi huu ni maalumu kwa wale wote wanasumbuliwa na magonjwa mbalimbali Una ndugu yako ameugua kwa muda mrefu,huoni solution waambie wataalamu wa afya watakusaidia. Kwa upande wangu...
  2. HIV/ AIDS je hizi ni dalili za mwisho au Kuna tumaini bado?

    Habari madaktari wetu! Mgonjwa amepata uvimbe kwenye viungo (Swollen lymph nodes) Mitaani huwa kuna imani kuwa mgonjwa akishafikia hatua hiyo ndiyo dalili za mwisho za kufariki. Je ni kweli? au akikazana na dawa atakuwa sawa tena. Vijana kuweni makini Ukimwi upo kwa hakika, kuna watu...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…