Habari za wakati huu wanajukwaa.
Kipindi cha miezi kadhaa iliyopita mwaka huu, Mimi kama mkazi wa hili eneo, niliandika hapa juu ya Dampo ambalo siyo rasmi lililoanzishwa na Halmashauri ya Mji wa Bariadi Mkoani Simiyu katikati ya makazi yetu.
Dampo hili ambalo lipo mtaa wa Kidinda, Halmashauri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.