Utangulizi
Uchangiaji damu ni kitendo muhimu cha hisani ambacho huokoa maisha ya wale wanaohitaji damu. Kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani (WHO), mahitaji ya damu yanakadiriwa kuwa asilimia moja ya jumla ya idadi ya wananchi. Kwa Tanzania, hii inamaanisha chupa za damu 550,000 zinahitajika...
Moshi yetu saafiiiiii saanaaaa
Tutalifanya zoezi letu kuwa endelevu kila mara kujenga tabia hii njema ya kuchangia damu,
Na haya ni malengo endelevu ya group kufanya mambo mbalimbali ya kijamii na baada ya uchangiaji damu tutaelekea jambo lingine bora na kubwa kwa jamii sooon tutaliweka wazi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.