TATIZO DAMU YA MTU HAIFUKIWAGI NA MCHANGA. DAMU HUFUKIWA NA DAMU JUU YAKE.
Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli
Mambo ya kiroho na kimwili yanakanuni Zake.
Ndàni ya Damu ya Mtu upo uhai. Damu ya Mtu vipo vinasaba. Vinasaba hubeba kumbukumbu za kimwili na kiroho za Mtu Husika.
Damu ya Mtu hubeba...