Mwamba aliweza kuja na biti kali ambazo zilikuwa na chembe chembe za sound za mwambao akichanganya sound za dance hall.
Aliweza kutukosha zaidi na ngoma ya "na wewe tu" na "najua"
https://youtu.be/i-qPIcfoOwA?si=zUeXE6c0pGbQPqks
https://youtu.be/Hn3OAT85VfM?si=rhUBnaA2ZSt_Iljq