Aliko Dangote GCON (born 10 April 1957) is a Nigerian billionaire businessman, and the owner of the Dangote Group, which has interests in commodities in Nigeria and other African countries. As of January 2020, he had an estimated net worth of US$10 billion.Dangote is ranked by the Bloomberg Billionaires Index as the 88th-richest person in the world and the richest man in Africa, and peaked on the Forbes list as the 23rd-richest person in the world in 2014. He surpassed Saudi-Ethiopian billionaire Mohammed Hussein Al Amoudi in 2013 by over $2.6 billion to become the world's richest person of African descent.
Description
Job Overview:
The Sales Officer will be responsible for driving business growth within their location by identifying sales opportunities, building and maintaining customer relationships, and ensuring consistent achievement of sales targets.
Key Responsibilities:
1. Identify new...
Description
Job Overview:
The Area Sales Manager will oversee the sales operations within a defined geographic region, manage a team of Sales Officers, and drive revenue growth. This role requires strong leadership, excellent communication skills, and the ability to develop and execute sales...
Habari njema kutoka Angola ni kwamba Bilionea raia wa Nigeria Aliko Dangote anatarajiwa kuwekeza kwenye ujenzi wa kiwanda cha kuchakata mafuta cha Lobito ( Lobito Refinery).
Hayo yameelezwa kupitia taarifa iliyotolewa na ubalozi wa Angola nchini Nigeria baada ya Bilionea huyo kukutana na...
Viwanda vya kusafisha mafuta ( oil refineries) vya barani Ulaya vimeanza kuonja joto la jiwe baada ya kiwanda cha kusafisha mafuta cha Dangote kuanza kufanya kazi.
Kiwanda hicho cha Dangote ambacho ni miongoni mwa viwanda vikubwa zaidi vya kusafisha mafuta duniani kimesababisha viwanda vya...
Baada ya vita kali toka mwaka 2013 hatimaye refinery ya Dangote imeanza kazi. Mwaka 2013 Dangote alitangaza kujenga kiwanda cha kusafisha mafuta. Gavana wa jimbo alilotaka kujenga akataka rushwa, ikabidi ahamishie kiwanda huko Lagos. Kimeanza kujengwa mwaka 2016 na kukamilika 2023-2024 kwa...
Mfanyabiashara tajiri zaidi barani Afrika, Aliko Dangote, amekiri kuwa anajutia kutokununua klabu ya Arsenal ambaye ni shabiki mkubwa wa Klabu hiyo kipindi ambacho thamani yake sokoni ilikuwa ni dola bilioni 2 tofauti na sasa ni $4 bilioni.
Dangote alifichua kuwa alikuwa na nafasi kubwa ya...
Mfanyabiashara tajiri kutoka Nigeria, Aliko Dangote (66), amerejea kushika nafasi ya kwanza kama mtu tajiri zaidi barani Afrika, kwa mujibu wa Orodha ya Mabilionea ya Bloomberg ya tarehe 7 Septemba 2024, akiwa na utajiri wa thamani ya Tsh trilioni 36.4.
Wiki kadhaa zilizopita, Rupert alikuwa...
Kwa mujibu wa orodha ya 'Bloomberg Billionaires Index' imemtaja Bilionea Johann Rupert kutoka Afrika Kusini kuwa Mwanaume tajiri zaidi barani Afrika
Rupert anamiliki Kampuni kubwa duniani ya bidhaa za kifahari Richemont inayomiliki 'brand' kama Cartier na Montblanc
Utajiri wake umeongezeka...
Mwanaviwanda mwenye uthubutu mkubwa ktk uwekezaji mkubwa ktk viwanda Afrika na Tanzania tukiwa wafaidika.
✅Amejenga Afrika Kiwanda kikubwa cha Cement duniani..Akiwekeza mabilioni ya dola..
✅Amejenga kiwanda cha mbolea kikubwa kikiwa namba 2 duniani
✅Amejenga mitambo ya kusafisha mafuta...
Sasa kama Dangote anaweza kuwa namba 191 duniani kwa utajiri wakati ndio namba moja Afrika, huyo tajiri namba moja duniani si anaweza kununua Afrika yote akiamua?
Katika kipindi cha Mwezi mzima Kijana Ally Dangote amekuwa akitafutwa kwa kutekeleza mauaji ya watu mbalimbali katika maeneo ya Longdong, Ungalimited na Sinoni
Kijana huyu alikuwa anatafutwa na Jeshi la Polisi, majira ya Leo mchana wananchi wenye hasira kali wamemtia nguvuni na kumpokonya uhai...
Umoja wa Mataifa kupitia Shirika la Afya Duniani (WHO) umeeleza kuwa Magonjwa yasiyo ya kuambukiza yanachangia vifo vya watu Milioni 41 kila Mwaka Duniani sawa na 74% ya vifo Ulimwenguni.
Hayo yamebainishwa katika Kongamano la Mabalozi wa Usalama Barabarani lililofanyika kwenye Ukumbi wa...
Kampuni ya Dangote imetangaza kupanda kwa bei ya cement kwa shillingi 885 kwa wauzaji wa jumla.Na 2000 kwa wauzaji wa rejareja Na sababu ni kuadimika kwa dola ya marekani.Kwa mwaka huu cement ilipanda julai mosi kwa ongezeko la shilingi 2000 baada ya serikali kuongeza kodi katika bajeti ya...
Dangote alikuja na mkwara eti atauza cement 5000, tulichomfanya abajuta kuwekeza Tanzania.
Kila week kuna roli linaanguka na kuwa scraper, cement yake haina tena soko wala hajawahi kuuza bei chini na wenzake.
Huyo Nakumat alitaka kushindana na Shoprite, tulichomfanya hatasahau.
Sisi ni...
Dangote kafungua kiwanda kikubwa cha kusafisha mafuta.
Kiwanda hicho kitakuwa na uwezo wa kusafisha mapipa 600,000 kwa siku (600K BPD)
Kiwanda hicho kitakuwa kikubwa kuliko vyote Afrika.
Kiwanda hicho kitakuwa ni kiwanda kikubwa cha Single Line Duniani.
Kiwanda hicho kitatoa zaidi ya Tani...
Waasi ambao inadaiwa wana uhusiano na kikundi cha Oromo Liberation Army wamelaumiwa kwa kuhusika katika tukio hilo la utekaji wa wafanyakazi zaidi ya 10 wa kiwanda cha simenti kinachomilikiwa na Bilionea wa Nigeria, Aliko Dangote.
Inadaiwa basi lililokuwa limebeba wafanyakazi hao Wilaya ya...
Description
JOB RESPONSIBILITIES:
Prepare all Media communications content, including digital and social media communication
Manage effective relationships with media stakeholders
Act as a first point of contact regarding all media stakeholder engagements and manage the implementation of...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.