dangote

Aliko Dangote GCON (born 10 April 1957) is a Nigerian billionaire businessman, and the owner of the Dangote Group, which has interests in commodities in Nigeria and other African countries. As of January 2020, he had an estimated net worth of US$10 billion.Dangote is ranked by the Bloomberg Billionaires Index as the 88th-richest person in the world and the richest man in Africa, and peaked on the Forbes list as the 23rd-richest person in the world in 2014. He surpassed Saudi-Ethiopian billionaire Mohammed Hussein Al Amoudi in 2013 by over $2.6 billion to become the world's richest person of African descent.

View More On Wikipedia.org
  1. B

    TPA na kampuni ya Dangote waingia makubaliano ya kibiashara kupitia bandari ya Mtwara

    Mamlaka ya usimamizi wa bandari Tanzania (TPA) Leo Jumatano Machi 16, 2022 imeingia makubaliano ya kibiashara na kiwanda cha Saruji cha Dangote kilichopo Mkoani Mtwara yenye lengo la kurahisisha usafirishaji wa Saruji kwa kutumia bandari ya Mtwara. Makubaliano hayo Yanawezesha kampuni ya...
  2. Cocaine na Heroine zinateketezwa kiwanda cha Dangote mkoani Mtwara

    Nimeishia kutoa macho tu, zinateketezwaje? Imekuwa sio kazi ya Polisi tena kuteketeza ila kampuni binafsi? Hata ulinzi hakuna pale. Hamna namna ingine ya kuteketeza wanapeleka kule kule tena buchani mbuzi afie hapo.
  3. Vijana wamshinikiza bilionea Aliko Dangote kuwania urais Nigeria

    Kundi la vijana nchini Nigeria, chini ya mwamvuli wa Bunge la Vijana wa Kaskazini, limetoa wito kwa mfanyabishara tajiri zaidi Afrika Aliko Dangote, viongozi wengine wa wafanyabiashara na wataalamu kuingilia kati uchaguzi wa rais wa 2023. Vijana hao wanasema kuwa uzoefu wao itasaidia kuleta...
  4. Utajiri wa MO vs BAKHRESA: Vigezo gani hutumika kuwabaini matajiri?

    Jarida la Forbes limetoa orodha ya matajiri barani Afrika ambapo Mohammed Dewji ameendelea kushikilia usukani kutokea Tanzania na kushika nafasi 15 barani Afrika. Mimi nina maswali kuhusu orodha hii, hivi hapa nchini hamna watu wana unreported wealth? Kuna watu wanaonekana kwa macho wana...
  5. Hadi Mama Dangote amekuja Mbao Tanzania, sijui anajenga ghorofa!

    Habari zetu kupitia JF zinafika mbali sana. Ishukuriwe platform hii kwa kutusaidia kuonekana kupitia mijadala yenye tija hasa kwa sisi eneo letu la ujenzi na hamasa tunazopeana humu. Tunapenda kuwajuza tu kuwa Mama Dangote ni miongoni mwa wateja wetu waliofika #MbaoTanzania kuchukua mzigo wa...
  6. K

    TANZIA Sani Dangote afariki dunia

    Bwana Sani Dangote mdogo wa tajiri nambari moja Africa ameaga Dunia huko Marekani. === Sani Dangote, the vice president of theDangote Group and brother to Aliko Dangote, is dead. Mr Dangote died in the United States Sunday after a protracted illness, PREMIUM TIMES learnt. Relatively less...
  7. Sampler – UG Geology at Geita Gold Mining Limited

    ABOUT GEITA GOLD MINING LTD Geita Gold Mining Ltd (GGML) is Tanzania’s leading gold producer with a single operation in Geita Region. The company is a subsidiary of AngloGold Ashanti, an international gold producer headquartered in South Africa, with operations in more than ten countries, in...
  8. Dereva wa Dangote auawa na Polisi Lindi

    Dereva wa gari la Dangote Ibrahim Said ameuawa na polisi baada ya kutaka kumnyang'anya askari bunduki. Kamanda wa polisi mkoa wa Lindi Mtatiro Kitinkwi anasema dereva huyo alifika eneo la kizuizi cha polisi akiwa kwenye mwendo mkali na hakusimama na alilenga walipokuwa wamekaa askari na askari...
  9. Social Performance Manager at Dangote

    Description Develop, implement and maintain a consistent strategy on stakeholder’s engagement establishing cordial relationship with host communities and other relevant stakeholders Key Duties and Responsibilities Manage, direct and inspire a team of independent professionals in order to...
  10. Dangote kampuni

    Wakuu Kuna mtu amenitumia link, kufungua nakuta haya
  11. Treasury Manager at Dangote

    JOB PURPOSE The purpose of the role is to adequately plan and ensure the funding requirements of the company’s operations. Tasks & Responsibilities: Deputise for Chief Finance Officer. Implement the company treasury and credit control policy in Tanzania, working with the Group Treasury and...
  12. Kama Dangote kafunga mitungi ya gesi kwenye malori yake, Mimi ni nani hata nisibadili mfumo wa nishati ya gari yangu?

    Mafuta yanapanda Bei Kila kukicha, kipato kinapungua kila kukicha. Nimepita Ubungo, kituo cha kujaza natural kwenye magari (sheli, tuite hivyo ili nieleweke) nimekuta kg 1 ni shilling 1550. Gharama za kubadili mfumo ni kama milioni moja na kidogo. Jumamosi naipeleka gari ikabadilishwe mfumo...
  13. Spika Ndugai ameitaka Serikali iache kutoa visingizio kuwa malori ya Dangote yanaharibu barabara ya Mtwara

    Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai ameitaka Serikali iache kutoa visingizio ambavyo havina msingi kuwa malori ya kampuni ya Dangote yanaharibu barabara za mikoa ya Lindi na Mtwara. Amesema kinachotokea ni barabara hizo kujengwa chini ya kiwango, kwani ni jambo linalofahamika kwamba malori hayo...
  14. Rais Samia muulize Bilionea Alhaj Aliko Dangote alitaka umpe nini ambacho hajapewa?

    Mpendwa Rais wangu umejitahidi sana kututoa hofu wa Tanzania kuwa unaweza na jinsia yako sio kitu cha kushindwa kuongoza jahazi na tumekubali na kukupokea kwa mikono miwili yawekana kabisa ukaja kuwa mkombozi wetu kwa nchi yetu. Naamini kwa muda mrefu taifa lilikosa mtu kama wewe na moderating...
  15. JK alimleta Dangote, Rais Samia mlete Elon Musk, bilionea namba moja duniani ambaye mabilioni yanamchanganya na anayewaza kuwekeza Mars

    Utajili wa Dangote ni mkubwa Sana kwa Afrika. Kwa uwekezaji wake wa kiwanda kimoja tu Cha cement alifanikiwa Sana kuukuza uchumi na kupúnguza Bei ya cement na kuikuza sekta ya ujenzi Tanzania. Ila Kuna ili jini la sasaivi tajili lisiloshikika duniani Mtengenezaji wa gari la umeme Tesla na...
  16. Dangote Group plans to invest a mega fertilizer plant in Tanzania

    Dangote impressed by dramatic change in Tanzania's business environment President Samia meets Nigerian businessman Aliko Dangote at State House, Dar es Salaam. Dar es Salaam. President Samia Suluhu Hassan has on Monday May 24, met Africa’s richest man and Nigerian Billionaire Aliko Dangote at...
  17. IKULU, inakuwaje Rais anasimama upande wa kushoto halafu Dangote kulia? Hamna watu wa Protocol?

    Kwa kweli ni Jambo la Aibu kusahau mambo muhim hivi! ina maana Dangote kicheo ni mkubwa kuliko mama yetu? Hizi aibu zisijirudie! hata mpiga picha hajui protokali? daah noma kweli
  18. Ni mali ya Dangote ama ni mali ya Obasanjo?

    Duniani kote alipowekeza Dangote itokeapo sintofahamu Mzee Obasanjo huwa wa kwanza kwenda kwa wakuu wa nchi husika kwa kisingizio cha kuwatembelea kama mstaafu. Ukiunganisha dot ni wazi unaweza kushabahiisha mfungamano wa wawili hao ndani ya ushirika wa Dangote Group. Rejeeni hapo Tz kila...
  19. Ukweli usemwe: Siasa za huko ni ngumu Rostam, CRDB na Dangote walishindwa

    Nimekuwa nikisikiliza watu wengi wakitoa maoni yao kuhusu ile kauli ya Uhuru. Wengi wanasema "afadhali Sasa nikafungue biashara yangu Kenya" Unajiuliza biashara gani hiyo wewe kapuku unaenda kufungua huko? Huko siasa zao ni ngumu Sana utaweza kweli ikiwa ma-tycoon wa biashara walishindwa...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…