Bondia Anthony Joshua anatarajiwa kurudiana na Daniel Dubois baada ya sehemu ya Waratibu wa pambano lao la kwanza kudai kuwa wapo katika mazungumzo ya awali
AJ alipoteza pambalo lililopita katika Raundi ya 5 mbele ya Mashabiki 98,000 kwenye Uwanja wa Wembely
Joshua bado ana mkataba wa kupigana...