Wakubwa habari ya nyie, naaamini mko poa sana
Nikiwa katika harakati za kuombea mtu kazi huko Uhamiaji, nikakutana na hii post
Database Administrator (MSSMS, PostgreSQL and Oracle).
Kibongo bongo sijawai ona hii course ila nikahisi itakua part ya Data science.
Swali langu ni yapi majukumu...
Job type: Full-time
Database Administrator
Department
DEPARTMENT OF ICT
Location
Tanzania Head Office
Number of openings
1
Job Purpose
To perform basic database administration functions for the bank’s entire database management systems while ensuring that best practices for development...
Habari wanajf, kuna suala ambalo linanitatiza naomba wenye uelewa wanisaidie!!
Iko Hivi Mimi nina Diploma ya Civil engineering (Civil technician) nikafanya Oral interview ya ( VOCATIONAL TEACHER II PLUMBING AND PIPE FITTINGS) ambayo ilihitaji mtu mwenye diploma ya civil nikafaulu ila kutokana...
Position: Specialist; Server & Database Administrator
Job reporting to: Senior Manager ICT
Location: CRDB BANK Burundi S.A.
No of positions: 1
Principal Responsibilities
Perform daily database administration activities including configuration & monitoring, space management, capacity planning...
Wakuu, naendelea kujifunza vitu. Sasa sasa hivi najifunza ku interact na database.
Nimeweza kuunda fomu hii kwa msaada wa HTML and CSS
Na huu ndiyo code yangu ya HTML
<!DOCTYPE html>
<html lang="en">
<head>
<meta charset="UTF-8">
<link rel="stylesheet" type="text/css"...
Position: Geological Database Assistant
Reporting to: Geological Database Administrator
Duration: Permanent
Location: Kahama, Shinyanga
Responsibilities
Database management: with the example, the required candidate for this position is required to assist the Database Administrators to...
Angalia mradi wa kifisadi alioingia January na Mabinzi Chande kuwapa Mahindra tech mabilioni ya pesa eti kuleta ufanisi Tanesco ni nonsense na wizi wa mali za umma.
Pesa hizo zingetumika kuunda Dna database ambayo ingeweza kuwasaidia polisi kudhibiti uhalifu.. Mwizi akikamatwa anachukuliwa Dna...
Habari za wakati huu, suala la kusaka ajira za serikali haijawahi kuwa jambo rahisi kwa wale ambao hawana kazi hata wale ambao wapo kwenye private ila wanataka kuingia serikalini kwa ajili ya security na vitu kama hivyo.
Uchache wa nafasi hufanya wengi wafunge safari hivyo hivyo kwenda Dodoma...
Kwa wamiliki wa website na web apps kuna changamoto ambazo unaweza kupitia katika uendeshaji wako. Mara nyingi hutokana na kutokupata maboresho mapya kwa wakati sahihi.
Kutokana na changamoto hizo tunatatua matatizo yafuatayo;
Database
1. Database cleanup
2. Database optimisation
3. Database...
Nina startup natafuta watu wanaojua ku-calculate molecular mechanics kwa kutumia LAMMPS, thermodynamics na Quantum mechanics lengo ni ku-analyze protein ili kujua quantitative functions at molecular level in terms of;-
Strain energy
Heat of formation
Dipole moment
Vibrational frequencies...
Mtu aniekekeze napataje database hosting kwa ajili ya android au iOS app yangu, nimeunda app lakini inahitaji database, wasi wasi wangu ni kama hapa Tanzanzia kuna hiyo huduma au mpaka nitumie za nje.
Ukiangalia teuzi za rais ni kama kuna list ya watu ambayo huwa tayari imeandaliwa kwaajili ya kuteuliwa. Yaani teuzi zinawazungukia wale wale.
Unakuta mtu akikosa ubunge au uwaziri atapata uRC, DC, DAS, DED au ukatibu mkuu. Mwingine unakuta alishapita vyeo vingi sasa kesha anza maisha mapya...
SQL Injection (SQLi) is a type of an injection attack that makes it possible to execute malicious SQL statements. These statements control a database server behind a web application. Attackers can use SQL Injection vulnerabilities to bypass application security measures. They can go around...
Kama tujuavyo kuwa kwenye shughuli ya siasa mtaji ni wanachama, CCM wanadai kuwa wana wanachama hai wapatao milioni 12. Ningetamani kujua na vyama vingine waweke data za wanachama wao hadharani.
Hii itasaidia sana kuwahamasha makada kufanya mapitio ya mipango na mbinu mbalimbali za kuongeza...
Duniani kumekuwa na magonjwa mengi na matibabu yake yamekuwa complicated kidogo, mengine yanahitaji historia ya mgonjwa ili kuweza kumtibu na mengine yapo complicated kiasi unaweza kutibiwa hospitali 4 na ile ya nne ndo ukapata tiba sahihi.
Mwezi wa 7,2020 nilimpeleka mjomba wangu hospitali...
Hello JF,
Kwa muda mrefu sasa malalamishi ya housegirls kunyanyaswa katika nchi za kiarabu kama Oman, Turkey, etc. yamekua mengi.
Ninachoona hapa ni kutokua na taarifa ama records to identify those at risk.
Kama ilivyo vitambulisho kwa wafanyabiashara ndogo ndogo (Machinga), then kuwe na...
Kama Title inavyosema hapo juu, Natafuta Designer Mzuri mwenye kujiamini kwenye Area zifuatazo:
1. Android & IO's Apps Designing
2. Website na Graphics Designing
3. DataBase
Sio lazima awe na uzoefu mkuuubwa kwa maana labda awe amefanya kazi na companies kadhaa au zinazotambulika hapana...
Wadau naomba kupata hiki ninachofikiria, nahitaji kuwa na database yenye uwezo wa kuona kila mtu ambaye nimemhifadhi kwenye hiyo database, ionyeshs jina lake, anwani yake na picha yake.
kifupi nahitaji kuona taarifa zake kwa ujumla ninapo click jina lake au kuserch kwa namba itokee kama vile...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.