david mwakiposa kihenzile

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. britanicca

    Kihenzile na Mkenda inawezekana wakawa Mawaziri?

    Je, inawezekana akaja Rais hapo baadae akamteua Mr Kihenzile akawa Waziri wa Elimu? Alafu Mwigulu akawekwa pembeni ili Adolfu Mkenda akawa wa fedha? Ni swali tu
  2. Stephano Mgendanyi

    Naibu Waziri Kihenzile amuongoza Rais wa Guinea Bissau, Umaro Embalo Kktembelea Mradi wa Treni ya Kisasa ya SGR

    Naibu Waziri wa Uchukuzi, Mhe. David Mwakiposa Kihenzile alimpokea Rais wa Guinea Bissau Mhe. Umaro Sissoco Embalo akiwa Kiongozi wa kwanza kutembelea Mradi wa Reli ya Kisasa ya SGR ya Dar es Salaam - Morogoro ambayo imeanza rasmi tarehe 14.06.2024 ambapo wamesafiri naye toka Dar mpaka Pugu kwa...
Back
Top Bottom