David Adedeji Adeleke (born November 21, 1992), popularly known as Davido, is a Nigerian-American singer, songwriter, and record producer.Davido rose to fame after releasing "Dami Duro", the second single from his debut studio album Omo Baba Olowo (2012). In 2012, Davido won the Next Rated award at The Headies. Between 2013 and 2015, he also released a number of hit singles and in January 2016 he signed a record deal with Sony Music. He then founded the record label Davido Music Worldwide (DMW), to which acts Dremo, Mayorkun, Peruzzi and Liya have been signed. In July 2016, Davido signed a record deal with Sony's RCA Records. In October 2016, he released the 5-track EP Son of Mercy, which was supported by the singles "Gbagbe Oshi", "How Long" and "Coolest Kid in Africa". In April 2017, Davido re-negotiated his contract with Sony due to creative control issues and later that year he released five singles including "If" and "Fall". "If" generated worldwide social media activity while "Fall" became the longest-charting Nigerian pop song in Billboard history. Davido has been famously referred to as 'The king of modern-day afrobeats'.Davido released his second studio album A Good Time in November 2019, supported by singles including "Blow My Mind". Davido was cited as one of the Top 100 most influential Africans by New African magazine in 2019. He released his third studio album A Better Time, on Friday 13 November 2020.
As at August 2021, Davido is the second most followed African on the social media app Instagram.
Davido Be There Still Mp3 Download
Be There Still’ presents an impressive production team, featuring Marvey Muzique, DJ Maphorisa, and Black Culture as producers, and the track’s mixing was handled by D-RO.
Davido had earlier announced to curious fans that his highly anticipated fifth album...
Msanii maarufu wa Afrobeats, Davido, ameibua gumzo baada ya kutoa tahadhari kali kwa Waafrika walioko ughaibuni na Wamarekani Weusi wanaopanga kuhamia Afrika. Katika mahojiano ya hivi karibuni kwenye podcast ya Big Homies House, Davido alisema wazi kwamba hali si shwari barani Afrika, hasa...
Davido, msanii maarufu wa Nigeria mwenye uraia pacha wa Marekani na Nigeria, amejikuta kikaangoni huko mitandaoni baada ya kushiriki zoezi la kupiga kura nchini Marekani na ku-share furaha yake kwenye mitandao ya kijamii kama Twitter (X) na Instagram. Akiandika "First Time Voter".
Suala ambalo...
Msanii maarufu wa muziki kutoka Nigeria, Davido, alipokuwa akipeana mkono na Mwana wa Mfalme wa Saudi Arabia, huko nchini Ufaransa alijigamba kwa kusema kuwa yeye pia ni mfalme wa Nigeria.
"Mimi ndio mfalme wa Nigeria" - Akijua vizuri ukubwa wa cheo cha kuwa mwana wa mfalme wa Saudi Arabia.
Kulingana na mtandao wa Spotify imetangaza wimbo wa “Champion Sound” wa mwanamuziki kutoka Nigeria David Adeleke (Davido) aliomshirikisha rapa kutokea South Africa Lethabo Sebetso (Focalistic) ndio wimbo ulioongoza kwa kusikilizwa zaidi katika mtandao huo.
Spotify ilitoa tangazo hilo mnamo...
Mwanamuziki kutokea nchini David Adeleke, maarufu kama “Davido”, amekanusha uvumi kwamba amekamatwa nchini Kenya alipokuwa katika ziara ya muziki Aprili 1, 2024 baada ya dawa za kulevya kupatikana kwenye ndege yake binafsi.
Kufuata uvumi huo mwimbaji huyo wa Nigeria amesema atachukua hatua za...
Mwanamuziki wa Afrobeats wa Nigeria, Davido ametangaza kuwa atatoa Naira 300m ($197,000) kwa vituo vya Watoto yatima nchini mwake.
"Mimi na taasisi yangu tunaahidi jumla ya Naira Milioni 300 kwa Vituo vya Watoto yatima kote Nigeria... kama mchango wangu wa kila Mwaka kwa Taifa...maelezo ya...
Unakumbuka Ile ngoma Water? 🎶Baby Sweat, Baby Water🎶
Sasa msanii ambaye ameimba ngoma hiyo yaani Tayla ameshinda tuzo Ya Grammy usiku huku akiwabwaga wasanii Wakubwa ikiwemo Davido na Burna Boy.
Tayla ameshinda tuzo hiyo kubwa kupitia kipengele cha Best African Music Performance alichokuwa...
NIGERIA: Jeshi la Polisi nchini humo limeanza uchunguzi dhidi ya Nyota wa #AfroBeats, Davido ambaye anatuhumiwa kumnyanyasa Kihisia na Kumtishia maisha Mwimbaji #TiwaSavage
Kwa mujibu wa taarifa, inadaiwa Mastaa hao walianza kukosa maelewano kati yao Desemba 2023 baada ya Tiwa Savage kuweka...
Nominations za Grammy za mwaka 2024 zimetangazwa, na wasanii kama vile Drake, Ice Spice na SZA miongoni mwa wa wanaowania tuzo.
Waandaaji (Recording Academy) imetaja orodha kamili ya wateule Novemba 10 kabla ya Tuzo za 66 za Grammy, zitakazofanyika kwenye Uwanja wa Crypto.com huko Los Angeles...
Hii inakuja baada ya davido kutoa wimbo wake hivi karibuni wenye video yenye maudhui ya dini ya kiislam.
Waislam wengi hawajapendezewa hasa kwenye majimbo yanayoongozwa kwa mfumo sharia bono na sokoto nchini naigeria, kuwa davido kaudhaurisha uislam kupitia wimbo huo.
Hizi dini zingine...
Hivi karibuni kumetoka report ya google kuwa msanii kutoka Tanzania Diamond Platnumz na Davido kutoka Nigeria ndio Wasanii walioongoza kufuatiliwa na kuzungumziwa kwa mwaka Huu kwa barani Africa.
Suala la mjadala kuhusu nani ndie mfalme wa muziki wa Africa, limekuwa likichukua kasi.
👉Huku kila mmoja akivutia kamba upande wake, kuanzia east Africa kina king kiba, diamond na hata konde boy wote wamekuwa wakisifiwa na mashabiki wao.
Mpaka kule Nigeria wasanii Kama patoranking, burna...
Habari.
Mtoto wa mwanamziki mashuhuri Davido Amefariki akiwa anaogelea Kwenye Swimming pool.
RIP little Young.
Music icon, David Adeleke aka Davido has sadly lost his first son, Ifeanyi David, he had with Chioma Rowland aka Chef Chi.
Ifeanyi who only recently celebrated his 3rd birthday...
Baada ya Zuchu kufanya show kwenye jukwaa la kimataifa kwenye African Day ambayo host alikuwa Idris Elba.
Zuchu alifanya show ya kukata na mundu kiasi crowd yote ikabaki na butwaa hapo mjini Lagos kwa wapopo.
Akaibuka yemi Alade akaongea na media za kimataifa akasema ameshangazwa na show ya...
Nyota wa muziki miondoko ya Afrobeats Davido anasema atatoa naira milioni 250 ($608,000; £450,000) kwa mayatima nchini Nigeria baada ya mashabiki wake kumtumia pesa.
Mapema wiki hii, mwanamuziki huyo maarufu aliwaomba mashabiki wanaoamini kuwa "Aliwapa wimbo mzuri" kumtumia pesa kwenye akaunti...
Katika kusherehekea birthday yake msanii davido katoa challenge kwa wasanii na makampuni mbalimbali aliowasaidia ku push nyimbo na brand zao kuwa maarufu Nigeria na Africa, akiwataja kwa majina kupitia Instagram story yake akiwemo msanii Diamond Platnumz na msanii Focalist.
Wasanii mbalimbali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.