dawa muhimu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. K

    Nataka kuagiza dawa inayoitwa Enclomiphene

    Wadau nina shida na dawa moja lakini nimetafuta kwa hapa Tanzania haipo nataka kuagiza India naomba mwenye connection ya huko anisaidie au kama kuna mtu huwa anaagiza vitu huko anisaidie niwasiliane nae. Naomba kuwasilisha wakuu.
  2. L

    Ninahitaji kufungua duka la dawa muhimu

    Habari Naomba kujua wapi naweza kupata/kusoma kozi ya kuuza duka la dawa muhimu (addo) kwa dar es salaam, gharama za kozi na inachukua mda gani?
  3. A

    DOKEZO Maduka ya Dawa Muhimu bado wanaendelea kuuza Antibiotics bila kufuata utaratibu licha ya kutolewa kwa katazo

    Kuna kitu kimejificha kwenye hili kati ya Pharmacy Council na wamiliki wa DLDM (Maduka ya Dawa Muhimu), Kwa nini mpaka leo dawa za antibiotics zinauzwa tu kwenye DLDM licha ya katazo? Wenye Famasi wanahangaika kupata mapato na gharama za uendeshaji ni mkubwa tofauti na DLDM. Tunaomba mamlaka...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…