Aliyekwisha tumia dawa za kichina au hizo za kiarabu kutibu matatizo ya tumbo ,maumivu ya miguu nakadhalika ninaomba anishauri!
Zipi zinafanya kazi vizuri na kwa uhakika,za kichina au za kiarabu?
Kwa nilivyofikia, niko tayari kwa ushauri kuhusu dawa hizo!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.