Tarehe 04 / 01 / 2025 nilienda Zahanati flani hapa mjini, ni ya Serikali baada ya kuwa sijiskii vizuri, nikapewa dawa kadhaa na panadol.
Leo jioni kichwa kikawa kinauma sana, nikasema nimeze Panadol ambazo nilibakiza nilizopewa Zahanati.
Binafsi siwezi kumeza Panadol Huwa nazitafuna tu, sasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.