Mtaa wa Tegeta kwa Ndevu stendi barabara ya kuelekea machinjioni kuna bomba la DAWASA limepasuka tangu mwaka jana, bomba hilo linamwaga maji na kuhatarisha afya usalama hewa wa biashara
======
Mrejesho: Dawasa walifika na kutengeneza kwa kuziba mbomba lililopasuka.
Anonymous
Thread
bomba la dawasa kupasuka
dawasategeta
serikali ya mtaa tegetategeta kwa ndevu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.