Pita pita mtaani yaani watu wamechoka sana hakuna cha maana maisha yao yamekuwa magumu. Nuru za watu zimepotea na kama watu wamejikatia tamaa.
Kweli ni nyimbo nzuri ila imekosea kuingia 2024
Huu mwaka eee ndo mwaka wa kuforce yaani mtake mcitake huu mwaka mtaniita boss
Rayvanny
Huu mwaka eee ndo mwaka wa kuforce yaani mtake mcitake mtaniita boss
Huu mwaka ee wa faida sio loss tushalala njaa huu mwaka mwendo wa misosi
Sisi Mungu anatulinda japo maadui wengi wanatuwinda
Vita...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.