Siku zinaenda
DAZ BABA, mmoja kati ya wanaMuziki mahiri kabisa niliowahi kuzisikia sauti zao zikiimba tungo (MUZIKI) kwa ustadi wa hali ya juu
DAZ BABA alikuwa akiiwakilisha DAZ NUNDAZ iliyokuwa na wanaMuziki kama FEROOZ MRISHO (Feruzi), LaRHUMBA, SAJO a.k.a MENTALI n.k
Moja...