Mkuu wa Wilaya ya Handeni, Albert Msando, ameagiza Mwandishi wa Habari wa ITV kukamatwa na kuamuru kufutwa kwa kazi zote zilizokuwa zimerekodiwa na Mwandishi huyo ambaye Alikuwa anafuatitilia Sakata la Madereva wa Malori ya mchanga kugoma, kwa kile kinachodaiwa kutozwa ushuru mkubwa na...