Mkuu wa Wilaya ya Lindi Mhe Victoria Mwanziva amefanya ziara maalum ya kukagua utekelezaji wa Miradi ya Maji- Wilaya ya Lindi na kubainisha mafanikio na megauzi makubwa Sekta ya Maji ikiwa ni kazi kubwa iliofanya na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan.
Katika...
Mkuu wa Wilaya ya Lindi, Victoria Mwanziva amefika na kuripoti rasmi Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Lindi na kupokelewa na Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Zainab Telack leo tarehe 05 Septemba, 2024.
Mkuu wa Wilaya ya Lindi, Victoria Mwanziva ameripoti katika kituo chake cha kazi cha Wilaya ya Lindi baada ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.