dcea tanzania

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. DCEA yanasa Jahazi la kiPakistan Bahari ya Hindi likiwa na Methamphetamine 670 kg

    Hii imetangazwa na Kamishna Jenerali wa Mamlaka huyo Aretas Lyimo. Ilikuwa ni operesheni ya Dec. 2024,ambapo pia walinasa crystal meth 224 kg katika fukwe za Bahari ya Hindi Meth ni stimulant ya Central Nervous system. Vijana wanaitumia kuongeza energy na imani. Pia inasemekana inapunguza...
  2. Dodoma: Hatimaye kinara wa dawa za kulevya, Suleiman Mbaruku Suleiman aka Nyanda adakwa

    MAMLAKA ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) imemkamata kinara wa dawa za kulevya jijini Dodoma, Suleiman Mbaruku Suleiman maarufu Nyanda mwenye umri wa miaka 52 ambaye mamlaka hiyo ilikuwa inamfuatilia kwa karibu kwa muda mrefu. Nyanda alikuwa na mwenzake Kimwaga Msobi Lazaro...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…