Kwa wale mnaofahamu historia ya jeshi la Polisi. Pamewahi kutokea Mkurugenzi wa Makosa ya Jinai au IGP kutoka Zanzibar?
Je, jeshi la polisi Tanzania limewahi kuwa na Mwanamke mwenye uwezo (capacity) ya kuwa IGP au DCI?
Kuhusu wizara ya Mambo ya Ndani, imewahi kuongozwa na Waziri mwanamke?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.