Dibora Monick Olga "Deborah" Gravenstijn (born 20 August 1974 in Tholen, Zeeland) is a Dutch judoka and Captain in the Royal Netherlands Air Force. She won a bronze medal in the class Women's 57 kg at the 2004 Summer Olympics and a silver medal four years later at the same event at the 2008 Summer Olympics in Beijing.
Kwanza kabla ya yote namshukuru Mungu Huwa nikileta mada hapa jamii sports, kwa mara ya kwanza watu Huwa wanaichukulia tofauti ila baada ya mda ukweli unadhibitika!!. fuatilia mada zangu za humu jamii sports utanielewa.
Sasa twendeni sambamba kwenye mada husika kama kichwa Cha habari hapo juu...
Kwako kocha mkuu wa Simba, msauzi Fadlu David
Natamani Sana kuona kiungo Bora mzawa Yusuf kagoma anapata muda wa kucheza Simba, kutompa nafasi ya kutosha ni kumkosea mchezaji na kipaji chake.
Mzamiru wa Nini kila siku???, Yani una option ya kagoma na okejepha alafu una opt kuanza na mzamiru...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.