deborah fernandez

Dibora Monick Olga "Deborah" Gravenstijn (born 20 August 1974 in Tholen, Zeeland) is a Dutch judoka and Captain in the Royal Netherlands Air Force. She won a bronze medal in the class Women's 57 kg at the 2004 Summer Olympics and a silver medal four years later at the same event at the 2008 Summer Olympics in Beijing.

View More On Wikipedia.org
  1. Metronidazole 400mg

    Deborah Fernandez ni mchezaji wa kawaida Sanaa, Simba Bado timu haijakaa vizuri tunajipa moyo tu

    Kwanza kabla ya yote namshukuru Mungu Huwa nikileta mada hapa jamii sports, kwa mara ya kwanza watu Huwa wanaichukulia tofauti ila baada ya mda ukweli unadhibitika!!. fuatilia mada zangu za humu jamii sports utanielewa. Sasa twendeni sambamba kwenye mada husika kama kichwa Cha habari hapo juu...
  2. GENTAMYCINE

    Mchezaji Deborah Fernandez Mavambo na Mchambuzi wa Michezo Wasafi FM Oscar Oscar hawana Undugu kweli kwa wanavyofanana?

    Jamaa wanafanana hadi balaa.
  3. Metronidazole 400mg

    Natamani kuona Deborah Fernandez anacheza pacha na Yusuph Kagoma na sio Mzamiru

    Kwako kocha mkuu wa Simba, msauzi Fadlu David Natamani Sana kuona kiungo Bora mzawa Yusuf kagoma anapata muda wa kucheza Simba, kutompa nafasi ya kutosha ni kumkosea mchezaji na kipaji chake. Mzamiru wa Nini kila siku???, Yani una option ya kagoma na okejepha alafu una opt kuanza na mzamiru...
Back
Top Bottom