December is the twelfth and the final month of the year in the Julian and Gregorian calendars. It is also the last of seven months to have a length of 31 days.
December got its name from the Latin word decem (meaning ten) because it was originally the tenth month of the year in the calendar of Romulus c. 750 BC which began in March. The winter days following December were not included as part of any month. Later, the months of January and February were created out of the monthless period and added to the beginning of the calendar, but December retained its name.In Ancient Rome, as one of the four Agonalia, this day in honour of Sol Indiges was held on December 11, as was Septimontium. Dies natalis (birthday) was held at the temple of Tellus on December 13, Consualia was held on December 15, Saturnalia was held December 17–23, Opiconsivia was held on December 19, Divalia was held on December 21, Larentalia was held on December 23, and the dies natalis of Sol Invictus was held on December 25. These dates do not correspond to the modern Gregorian calendar.
The Anglo-Saxons referred to December–January as Ġēolamonaþ (modern English: "Yule month"). The French Republican Calendar contained December within the months of Frimaire and Nivôse.
Tangu December 2024 hadi sasa January 2025 nimebaini uhaba mkali sana wa maafundi ujenzi (Uwashi, nk.) .., uhaba ni mkali mno! Mafundi Uwashi ni wa kugombania hasa jijini Dar. Chanzo ni nini?
At the same time kuna wimbi kubwa la vijana naliona likishinda kucheza kamari kwenye mabanda mbali...
Mtanange mkali Leo.
Kinyanganyiro: Ligi Kuu Tanzania Bara - NBC
Mwenyeji: Singida Black Stars ya Singida
Vs
Mgeni : Simba SC ya Dar es salaam
Uwanja: CCM Liti Singida.
Muda : Saa 10Jioni.
Tukutane saa 10 Jioni kwa Maelezo ya mchezo huu.
VIKOSI VYA LEO.
Updates...
00' Mpira umeanza...
Mtaani mchuano wa DStv na AzamTv ni Mkali sana.
DStv katika kuendana na kasi ya AzamTv ameamua kuachia ofa chaneli zote bure hata kama hujalipia kuanzia jana Desemba 27 mpaka kesho Desemba 29.
Siku za karibuni DStv amekuwa akipungukiwa na wateja hii ni baada ya AzamTv kuliteka soko la ndani...
Wengine nimewapiga block,
Wengine nimewapotezea sipokei simu zao,wengine nawqoiga kiswahili.
Hakuna niliyemuambia kuwa sina.na hakyna niliyenpa hata mia
Mwanaume usiseme sina.utakuwa John Cena,
Hivi wanawaje hudhani sisi tunaikotahela?
Salaam, Shalom!
Msingi wa SWALI LANGU upo katika Sala Aliyotufumdisha Yesu sisi wanafunzi wake kusali Kwa hiyo, kwamba;
(Mathayo 6:10)
"Mapenzi Yako yatimizwe, hapa duniani kama ilivyo Mbinguni "
Swali no 1.
Kusherehekea Christmas tarehe 25 December ni mapenzi ya Mungu aliye Mbinguni?
Swali...
Hii ni thread niliiandika mwaka 2015, na ni mojawapo ya thread ilisomwa sana humu JF, na hata kuandikwa gazeti la Mwananchi. Kutokana na umuhimu wake, nimeona niihuishe tena nikijua kuna wengine hawakuwahi kuisoma, na inaweza kuokoa uhai wao, hasa kwa wale wanaonunua magari kwa mara ya kwanza...
Nawapa mbinu ya kimafya,
Hii mbinu sitarudia tena kuitoa
Ukipuuza usije unalia January
Kipindi hiki ndo washamba wanapata mademu na majukumu mapya na magumu
Kipindi hiki ndo utalipa nauli za kwenda Moshi
Kipindi hiki ndo utamnunulia viwalo
Kipindi hiki Watoto wake wapo likizo laZima uwatoe...
Wakuu,
Bikra Mariam alipata mimba mwezi June Kwa uwezo wa roho mtakatifu.
Sasa iweje Pasaka iwe 25 December? Means alizaliwa December au alizaliwa njiti..
Mbona kama hesabu haipo sawa.
Soma Luka 1:26-35
Kesho tukijaliwa Tundu Lissu atafanya mkutano na waandishi wa habari.
Ukumbi wa mkutano utatangazwa baadae.
Ajenda kuu ya kikao chake ataisema kwenye kikao.
Update
Ukumbi ni Mlimani City
Muda ni saa 5 asubuhi
Gharama za event zimetokana michango ya diaspora, sauti ya watanzania group na...
Job type: Full-time
POST COMPUTER ANALYST PROGRAMMER II – 3 POST
EMPLOYER Bank of Tanzania (BOT)
APPLICATION TIMELINE: 2024-12-05 2024-12-19
JOB SUMMARY NA
DUTIES AND RESPONSIBILITIES
i.Administer computer systems by ensuring that at all times the systems are properly functioning and help users...
Kampala International University in Tanzania (KIUT) is a fully registered private university located in Dar es Salaam, just 6.3 kilometers from Julius Nyerere International Airport. KIUT is committed to providing a high-quality education and is now looking to expand its team. They invite...
Leo December 1 2024 ni siku ya UKIMWI duniani.
Mpaka sasa kwa mujibu wa shirika la afya duniani (WHO) kuna zaidi ya watu milioni 39.9 duniani kote wanaoishi na virusi vya UKIMWI (VVU).
Ni muhimu kuelewa kwamba si kila mwenye VVU ana UKIMWI. UKIMWI hutokea katika hatua za mwisho za maambukizi...
Nimekuta hayo hapo chini mahali na mimi nimeamua kuunga mkono kukumbisha siku ya kupokea uhuru Lindi:
KUELEKEA MAADHIMISHO YA MIAKA 63 YA UHURU WA TANGANYIKA TUJIKUMBUSHE HISTORIA YA BARABARA YA UHURU ILIYOPO KATIKA MANISPAA LINDI.
Msomaji wa makala za durusu durusu za historia mapema nimepita...
Rais wetu mpendwa na AMIRI jeshi mkuu alitutangazia kuwa ifikapo December watumishi wote ambao uhakiki wa madeni yao ulishakamilika wawe wamelipwa.
Umebaki mwezi mmoja.
Ingekuwa vema iwapo waziri husika angetoa hata progress ya utekelezaji wa agizo la Rais ili wale akina Thomaso wapate...
Rejea kichwa cha habari hapo juu
Mm mpakwa mafuta wa Bwana nimeona niwashauri ili roho zenu zisiende jehanamu
Mda huu mpka December mtubu kama unajua wewe n msanii
January mpka March kama n mwanamziki tubu sali sana upepo wa kisuli suli unakuja kwa waimbaji
Wasalaamu
Shalom,
Kwa kweli kama imqni nyingine zinakwenda Ibada miji mitakatifu yao kuanzia wa budha huko tibet bila shida kabisa
Waislam huko Mecca na Madina
Wahindi na Hindu yao huko Bombay na New dehri
Basi Israel iendelee na safisha safisha mpaka miji ile muhimu ambayo magaidi wanajitapa ipo...
Kwa utafiti wangu niliofanya nimegundua mwezi December ni mwezi wa ma-ex kupasha viporo
Ombi langu kwa jinsia ya kike mliobahatika kuolewa na wanaume wa mikoani na ukaishi huko mikoani chonde chonde achana basi na wapenzi wako wa zamani ,mnaebisha
December inakaribia unamuomba mmeo ruhusa ya...
Introduction: Why Blogging in 2024?
Starting a blog in 2024 offers incredible opportunities for personal expression and financial gain. With advancements in technology and digital marketing, blogging has become more accessible and rewarding. Whether you're aiming to share your passion, build a...