defender

  1. Eli Cohen

    Kila unapoiona defender ya polisi inakuja usawa wako unaanza kujiwazia hivi kuna issue gani labda umezingua😂

    Unaanza kukumbaka mara ya mwisho kijiweni uliongea nini controversial, JF ulipost nini controversial, kitu gani umenunua kutoka kwa mtu labda ni cha wizi, 😂
  2. Money Bags

    Land Rover Defender 110 (Mwaka 2000 - 2002) Inatafutwa

    Kwema Wadau Inatafutwa Ya Kununua Land Lover Defender 110 Engine 200 tdi or 300 tdi (Diesel) Year 2000 - 2002 Double Cab Would Be More Likely But Not Limited Mnunuzi yupo Dar es Salaam Budget TZS M 20 - M 25 Depending Na Condition Yake Ni Kwa Matumizi ya kawaida tu hapa mjini na safari...
  3. Waufukweni

    Paul Makonda: Arusha sasa inazalisha Magari aina ya Defender na kuyapeleka Ulaya

    Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda, ameweka wazi kuwa Arusha imeanza kutengeneza magari aina ya Defender, ambayo sasa yanauzwa Ulaya. Akizungumza kwenye kongamano la Radiolojia lililofanyika leo Oktoba 9, jijini Arusha mbele ya Naibu Waziri Mkuu, Doto Biteko, Makonda ameeleza kuwa magari hayo...
Back
Top Bottom