Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda, amesema wanafunzi wa VETA, ambao leo Machi 15, 2025, wamefanya ukarabati kwenye wodi ya watoto ya Hospitali ya Taifa Muhimbili, ikiwemo kupaka rangi, wamekuja kuonesha uwezo wao kutokana na yale wanayojifunza VETA.
"Sisi tunafurahi...