dejan georgijevic

Dejan Georgijević (Serbian Cyrillic: Дејан Георгијевић; born 19 January 1994) is a Serbian professional footballer who plays as a striker for Simba SC.

View More On Wikipedia.org
  1. Bujibuji Simba Nyamaume

    Tetesi: Mzungu wa Simba Dejan Georgijevic kurejea kukipiga

    Mchezaji maarufu Mzungu wa Simba Dejan Georgijevic ametangza rasmi kutua nchini kukipiga. Dejan hajaweka bayana kama ataendelea na Simba au atatua Yanga kuziba pengo la Faizal Fey Toto anayewaniwa na club ya Azam Fc
  2. T

    Dejan Georgijevic mbioni kutikia nchini Misri kujiunga na klabu ya Al-ittihad iskandary (alexandria)

    Inasadikika kuwa aliyekuwa mshambuliaji raia wa serbia, Dejan Georgijevic yupo mbioni kutimkia nchini misri kujiunga na klabu ya Al-ittihad iskandary (alexandria) kuungana na aliyekuwa kocha wa simba Zoran Maki. Vyanzo vya karibu nchini Misri vimenihabarisha kuwa kocha huyo Zoran Maki...
  3. black angel

    Mkataba wa Dejan Georgijevic, Mzungu wa Simba Wavunjwa

    Nipo natafakari hapa ni hasira, masimango au kuna kitu kingine hadi mchezaji pendwa Dejan kusitisha mkataba wake? ==== Mshambuliaji Dejan Georgijevic ametangaza kuvunjika kwa mkataba na Klabu ya Simba kutokana baadhi ya vipengele kukiukwa. Dejan ameandika kwenye ukurasa wake “Nathibitisha...
Back
Top Bottom