Wote tunajifunza kulingana yaliyotangulia mbele ndio maana viongozi wakitumia sana kusema nchi ya amani na ujanja wa kusema tanzania ni wapore na wakilimu.
Ila hawa fahamu kuwa mwendelezo wao unaweza kuzaa haya kama demokrasia ikishakosekana ujikuta hivi:
Ukosefu wa Toleransi na Ubaguzi wa...
Mfumo wa Demokrasia unahitaji wananchi kushirikishwa katika maamuzi ya nchi yao kwa kuchagua viongozi na kutoa maoni yao kuhusu sera na sheria.
Ushiriki wa wananchi sio tu msingi wa mfumo huu bali pia ni njia ya kuhakikisha kwamba serikali inawajibika vilivyo kwa maslahi ya wananchi wake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.