demokrasia ya kweli

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Demokrasia ikikosekana husababisha machafuko

    Wote tunajifunza kulingana yaliyotangulia mbele ndio maana viongozi wakitumia sana kusema nchi ya amani na ujanja wa kusema tanzania ni wapore na wakilimu. Ila hawa fahamu kuwa mwendelezo wao unaweza kuzaa haya kama demokrasia ikishakosekana ujikuta hivi: Ukosefu wa Toleransi na Ubaguzi wa...
  2. R

    Demokrasia bila ushirikishwaji wa wananchi ni Demokrasia?

    Mfumo wa Demokrasia unahitaji wananchi kushirikishwa katika maamuzi ya nchi yao kwa kuchagua viongozi na kutoa maoni yao kuhusu sera na sheria. Ushiriki wa wananchi sio tu msingi wa mfumo huu bali pia ni njia ya kuhakikisha kwamba serikali inawajibika vilivyo kwa maslahi ya wananchi wake...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…