Nimeunda Tume maalumu ya kushughulikia deni la Taifa Ili tubaini mambo matatu
1. Tulikopa kiasi gani cha Fedha na kwa sababu gani
2. Miradi gani iliyotekelezwa kwa Mikopo hiyo na iko katika hali gani
3. Ni nani walibariki Mikopo hiyo na kwa Mamlaka gani ya kikatiba
Tukishajua haya Wananchi...