deni la zanzibar

The Roman Catholic Diocese of Saint-Denis de La Réunion (Latin: Dioecesis Sancti Dionysii Reunionis; French: Diocèse de Saint-Denis de La Réunion) is a diocese of the Catholic Church located on the island of Réunion.
It is immediately subject to the Holy See. As such, it is not part of an ecclesiastical province, but is a member of the Episcopal Conference of the Indian Ocean (with Comoros, Mauritius and Seychelles). The cathedral church of the diocese is the Cathedral of Saint-Denis (French: Cathédrale de Saint-Denis de La Réunion) located in Saint-Denis.

View More On Wikipedia.org
  1. Magazetini

    Orodha ya mikopo iliyokopwa awamu ya sita tangu Rais Samia Suluhu aingie madarakani March 19, 2021

    Serikali ya Tanzania imekuwa ikichukua mikopo tangu enzi katika kutimiza majukumu yake ya kimaendeleo na kila siku. Deni la Taifa limekuwa likikua huku Serikali ya awamu ya sita ikilifikisha trilioni 91 kwa miaka 3 iliyokuwa madarakani kutoka trilioni 60 iliyoachwa na Serikali ya awamu ya tano...
  2. ChoiceVariable

    Uingereza Yaipa Zanzibar Mkopo wa Sh.Tilioni 1 Kujenga Uwanja wa Ndege Pemba

    Wadanganyika mnaitwa huku 🤪🤪 --- Serikali ya Zanzibar na Uingereza zimesaini makubaliano ya mkopo wa bei nafuu wa Euro 400 milioni sawa na Sh1.04 trilioni kwa ajili ya ujenzi wa Uwanja wa ndege wa kimataifa wa Pemba na zaidi ya kilometa 103 Unguja na Pemba. Fedha hizo ambazo ni mkopo nafuu...
  3. HIMARS

    Deni la Zanzibar ladhaminiwa kwa 73% na Tanzania

    Mwenendo wa deni la Zanzibar 2017/18 - Bilioni 472.5 2018/19 - Bilioni 806.8 2019/20- Bilioni 824.5 2020/21 - Bilioni 887 2021/22 - Trilioni 1.2 https://t.co/YuSI0usKt4 Hawa watu sisi ndio twawadhamini ila wanatuletea kiburi na jeuri. Na hapo bado sisi twawapa zaidi ya Asilimia 4 kwenye...
Back
Top Bottom