deni ni himilivu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mindyou

    Deni la Serikali hapa Tanzania ni kama kurithishana uchawi. Ipitishwe sheria Rais yeyote awe na ukomo wa kukopa!

    Wakuu, Ifikie muda tuache ku-judge wanasiasa kwa kutujengea vyoo na mabarabara. Unakuta mwanasiasa anaenda kukopa World Bank na IMF alafu anaenda kujenga shule na zahanati Kibaya zaidi anaenda kukopa hela ambayo mpaka anamaliza muda wake wa uonogozi hawezi kuilipa. Hivi kuna kitu rahisi...
Back
Top Bottom