Wakuu,
Ifikie muda tuache ku-judge wanasiasa kwa kutujengea vyoo na mabarabara.
Unakuta mwanasiasa anaenda kukopa World Bank na IMF alafu anaenda kujenga shule na zahanati
Kibaya zaidi anaenda kukopa hela ambayo mpaka anamaliza muda wake wa uonogozi hawezi kuilipa.
Hivi kuna kitu rahisi...