denmark

Denmark (Danish: Danmark, pronounced [ˈtænmɑk] (listen)), officially the Kingdom of Denmark, is a Nordic country in Northern Europe. Denmark proper, which is the southernmost of the Scandinavian countries, consists of a peninsula, Jutland, and an archipelago of 443 named islands, with the largest being Zealand, Funen and the North Jutlandic Island. The islands are characterised by flat, arable land and sandy coasts, low elevation and a temperate climate. Denmark lies southwest of Sweden and south of Norway, and is bordered to the south by Germany. The Kingdom of Denmark is constitutionally a unitary state comprising Denmark proper and the two autonomous territories in the North Atlantic Ocean: the Faroe Islands and Greenland. Denmark has a total area of 42,943 km2 (16,580 sq mi) as of 2020, and the total area including Greenland and the Faroe Islands is 2,210,579 km2 (853,509 sq mi). Denmark proper has a population of 5.85 million (as of 2021), of which 800,000 live in the capital and largest city Copenhagen.The unified kingdom of Denmark emerged in the 8th century as a proficient seafaring nation in the struggle for control of the Baltic Sea. Denmark, Sweden, and Norway were ruled together under one sovereign ruler in the Kalmar Union, established in 1397 and ending with Swedish secession in 1523. The areas of Denmark and Norway remained under the same monarch until 1814, Denmark–Norway. Beginning in the 17th century, there were several devastating wars with the Swedish Empire, ending with large cessions of territory to Sweden. After the Napoleonic Wars, Norway was ceded to Sweden, while Denmark kept the Faroe Islands, Greenland, and Iceland. In the 19th century there was a surge of nationalist movements, which were defeated in the First Schleswig War. After the Second Schleswig War in 1864, Denmark lost the Duchy of Schleswig to Prussia. Denmark remained neutral during World War I; however, in 1920 the northern half of Schleswig became Danish again. In April 1940, a German invasion saw brief military skirmishes while the Danish resistance movement was active from 1943 until the German surrender in May 1945. An industrialised exporter of agricultural produce in the second half of the 19th century, Denmark introduced social and labour-market reforms in the early 20th century that created the basis for the present welfare state model with a highly developed mixed economy.
The Constitution of Denmark was signed on 5 June 1849, ending the absolute monarchy, which had begun in 1660. It establishes a constitutional monarchy organised as a parliamentary democracy. The government and national parliament are seated in Copenhagen, the nation's capital, largest city, and main commercial centre. Denmark exercises hegemonic influence in the Danish Realm, devolving powers to handle internal affairs. Home rule was established in the Faroe Islands
in 1948; in Greenland home rule was established in 1979 and further autonomy in 2009. Denmark became a member of the European Economic Community (now the EU) in 1973, but negotiated certain opt-outs; it retains its own currency, the krone.
A developed country, Danes enjoy a high standard of living and the country ranks highly in some metrics of national performance, including education, health care, protection of civil liberties, democratic governance and LGBT equality. It is among the founding members of NATO, the Nordic Council, the OECD, OSCE, and the United Nations; it is also part of the Schengen Area. Denmark also has close ties to its Scandinavian neighbours linguistically, with the Danish language being partially mutually intelligible with both Norwegian and Swedish.

View More On Wikipedia.org
  1. U

    Marekani haijaanza leo kutamani kununua kisiwa cha Greenland, mwaka 1946 Marekani ilitoa dolla millioni 100 kwa Denmark ili kununua kisiwa hicho

    Wadau hamjamboni nyote? Mchakato uliongozwa na Waziri wa mambo ya nje James Byrnes. Marekani ilitoa ofa ya dola million 100 million Kwa Serikali ya Denmark ili kuinunua Greenland. Pia Marekani imewahi kutaka kukinunua kisiwa cha Greenland mara kadhaa katika miaka ya 1867, 1910, 1946, 2019 na...
  2. JamiiForums

    Balozi wa Denmark nchini Tanzania anayemaliza muda wake, Mette Nørgaard Dissing-Spandet aitembelea JamiiForums

    Balozi wa Denmark nchini Tanzania, Mette Nørgaard Dissing-Spandet ameitembelea JamiiForums (JF) na kufanya mazungumzo na Uongozi na Watendaji wake ikiwa ni pamoja na kujionea maendeleo ya Taasisi akiwa kama Mshirika muhimu wa JF. Pia, Balozi amefika JF kwa lengo la kuaga rasmi ikiwa ni baada ya...
  3. Roving Journalist

    Denmark yatoa zaidi ya Tsh. Bilioni 103 zilizotumika kwa ajili ya kusaidia Sekta ya Afya kupitia Mfuko wa Afya

    Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb) akizungumza wakati wa Mkutano na Waziri wa Ushirikiano wa Maendeleo na Sera za Mabadiliko ya Tabianchi wa Serikali ya Denmark, Mhe. Dan Jørgesen (hayupo pichani) aliyeambatana na ujumbe wake, ambapo wamefanya mazungumzo kuhusu ushirikiano wa nchi...
  4. BigTall

    FCS yasherehekea Miaka 62 ushirikiano wa Tanzania na Denmark

    Taasisi ya Foundation For Civil Society FCS, imeungana na wadau wengine wa Asasi za Kiraia na ubalozi wa Denmark kusherehekea miaka 62 ya mashirikiano kati ya Serikali ya Tanzania na Denmark. Akizungumza katika hafla hiyo iliyofanyika Machi 21, 2024 Jijini Dar es Salaam, Mkurugenzi Mtendaji wa...
  5. Nyendo

    Dr. Mwigulu Nchemba (MP), has thanked Denmark for contributing to the development of Tanzania in various economic and social fields

    The Minister of Finance, Honorable Dr. Mwigulu Lameck Nchemba (MP), has thanked Denmark for contributing to the development of Tanzania in various economic and social fields, as well as the construction of the Standard Gauge Railway (SGR) project from Morogoro to Makutupora in Singida region...
  6. ChoiceVariable

    Denmark yatangaza kuendelea kuwa na Ubalozi wake nchini Tanzania. Ilipanga kuufunga ifikapo 2024

    Leo, Waziri wa Mambo ya Nje wa Denmark, Lars Løkke Rasmussen, ametangaza kwamba Denmark itaendelea kuwa na Ubalozi wake nchini Tanzania. Kuhusu Denmark kufunga ubalozi wake, soma >Denmark kufunga Ubalozi wake nchini Tanzania ifikapo 2024 Ujumbe wa Balozi wa Denmark nchini Tanzania. --...
  7. Objective football

    Pesa ikikubali nitatimka bongo nikaishi Sweden

    Tangu mdogo nasoma, kuna familia jirani na kwetu walikua wakishua sana. Watoto wa ile familia kila wakija kumsalimu Babu yangu nyumbani, walikua wanamletea zawadi nyingi na vitu vya thamani sana. Babu hakuishia hapo, muda mwingi alinijaza stori kuwa hawa jirani zako unao waona, wako sweden...
  8. GoldDhahabu

    Inawezekanaje nchi ndogo ya Denmark kuipa misaada nchi kuubwa Tanzania?

    Denmark inatarajia kuufunga ubalozi wake nchini Tanzania ifikapo 2024. Ni kati ya nchi ambazo zimekuwa zikiipa Tanzania misaada, tokea ikiitwa Tanganyika hadi sasa ikiwa inajulikana kwa jina adhimu, Tanzania. Lakini Denmark ni nchi ya namna gani? Ukifanya ulinganisho, Tanzania imeizidi kwa...
  9. B

    Balozi wa Denmark aipongeza Benki ya CRDB kwa Matokeo Mazuri ya Fedha

    Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela (wakwanza kulia) akimwelezea Balozi wa Denmark nchini, Mette Nørgaard Dissing-Spandet (wapili kushoto) juu ya Mkakati mpya wa Miaka Mitano wa Biashara wa Benki ya CRDB wa 2023/2028 wakati ujumbe wa Benki hiyo ulipotembelea katika Ubalozi...
  10. Greatest Of All Time

    Mkasa wa timu ya taifa ya Denmark na bahati ya mtende katika michuano ya Euro 1992

    Ulishawahi kusikia bahati ya mtende au ngekewa? Au mtu baada ya kuharibu anapewa second chance! Ndio kilichowakuta Denmark mwaka 1992 katika michuano ya Mataifa ya Ulaya. Michuano ya Uefa Euro mwaka 1992 ilipangwa kufanyika katika majira ya joto huko nchini Sweden. Ilikuwa ni michuano ambayo...
  11. MK254

    Poland, Denmark na Norway waanza maandalizi ya bomba la gesi, kwaheri Urusi

    Putin anaimaliza Urusi yake kwa ujinga wake, soko linamtoka kizembe sana... "The era of Russian domination of gas is coming to an end, an era marked by blackmail, threats and coercion," Polish Prime Minister Mateusz Morawiecki said Tuesday at the symbolic inauguration of the Baltic Pipe...
  12. DeepPond

    Urusi yazikatia huduma za gesi Denmark na Germany

    Kampuni ya kusambaza gesi ya urusi ya Gazprom imezikatia huduma nchi za denmark na German baada ya kampuni yao ya SHELL ENERGY EUROPE LIMITED yenye dhamana ya kuwasambazia gesi nchi za Denmark na German kushindwa kufanya malipo kwa rubble Kama ilivyoelekezwa na rais Vladmir Putin. Hii inakuja...
  13. GENTAMYCINE

    Natamani sana Ubunifu huu wa 'Daladala' za nchini Denmark uigwe na za Tanzania ili tusiooa na wasioolewa tupate Wenza wetu wa Maisha

    Wamiliki wa Daladala nchini Denmark wamebuni Mbinu mpya kwa Abiria ambao hawataki Kuoa kama GENTAMYCINE au Kuolewa kama wengine ili waweze kuwapata Wenza wao ndani ya hizo Daladala. Ni kwamba sasa katika kila Daladala nchini Denmark huwa zinaachwa wazi Siti Mbili ambapo Yule Abiria ambaye...
  14. Analogia Malenga

    Denmark kuondoa vikosi vyake Mali

    Denmark imesema Alhamisi kwamba itaanza kuondoa vikosi vyake nchini Mali baada ya utawala wa kijeshi uliofanya mapinduzi nchini humo mapema wiki hii kuitisha kuondoka kwao likionekana kuwa pigo kwa Ufransa ambayo inaongoza operesheni ya pamoja dhidi wanamgambo wa kiislamu nchini humo. Kwa...
  15. Mwanamayu

    Huyu ndio Askofu Gwajima eti Stocholm ni mji mkuu wa Denmark! Hayo mengine hachapii kweli?

    Askofu Gwajima mwenye 'upako wa kutosha' aka 'Jasusi wa mbinguni' anawaambia waamini wake kuwa Stocholm ni mji mkuu wa Denmark! Mimi nijuwavyo, Stocholm ni mji mkuu wa Sweden, halafu Copenhagen ndio mji mkuu wa Denmark.
  16. M

    Humphrey Polepole aelezea sababu za Kibeberu ya nchi moja kufunga ubalozi

    Pole pole ameelezea jinsi mabeberu wanavyojaribu kutudhoofisha lakini ameweka wazi sababu za nchi moja kufunga ubalozi na kusema ni Mambo ya KIUCHUMI kwani baada ya serikali hiyo kubanwa kupata maslai wameamua kuondoka, msikilize hapa akiongelea uzalendo wa Hali ya juu
  17. Influenza

    Serikali yaeleza kusikitishwa na uamuzi wa Denmark kufunga ubalozi wake

  18. Chizi Maarifa

    Serikali Yangu ijitathmini, tunapopoteza Marafiki Kama Denmark tukijidanganya ma Wachina tunashida

    Wa Denish ... Hawa ni moja ya Wazungu wastaarabu sana. Nmekaa kwao, nmefanya nao kazi katika Miradi yao Mbalimbali. Sikuwahi Baguliwa, Dharauliwa au Kubagazwa. Ingawa sisemi kuwa wanakosekana kabisa wabaguzi katikati yao. Ni binadamu. Sisi wenyewe waafrika tunabaguana. Nasikitika sana...
  19. MK254

    Denmark kufunga balozi zisizokuwa na tija kwao, Tanzania ni mojawapo

    Kwa wataalam wa haya madude ina maana Tanzania kwenye mambo ya kidiplomasia imefika kiasi cha kutemwa na mataifa ya maana kama Denmark, hii ina maana Watz watakua wanakuja Nairobi au Kampala, Uganda kwa huduma zozote zinazohusu ubalozi wa Denmark. Mama Suluhu ana kazi kwa kweli, yaani mpaka...
  20. Erythrocyte

    Kyela tutaikumbuka serikali ya Denmark kwa kutuletea mradi wa uhakika wa Maji wa DANIDA

    Huu ndio ulikuwa mradi wa kwanza kabisa mkubwa na wa Uhakika wa Maji safi ya bomba Wilayani Kyela , ulianzia Kasumulu ukapita Lubele, Mbako, Kilasilo, Ibungu, Lupembe, Muungano, Ikolo hadi ziwani huko, kule upande wa pili ukipita Njisi (boda ya sasa), Isaki, Kabanga hadi Katumbasongwe. Huu ndio...
Back
Top Bottom