deogratias mahinyila

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. J

    SI KWELI Mwenyekiti wa BAVICHA amesema vyama vya upinzani vitapata katiba mpya wakiwa bungeni sio kususia uchaguzi wenye

    Mwenyekiti wa bavicha amesema vyama vya upinzani vitapata katiba mpya wakiwa bungeni sio kususia uchaguzi kwenye ukurasa wake wa X (Twitter)
  2. M

    Deogratias Mahinyila upo?

    Deogratias Mahinyila upo ktk Tanzania hii? Sijaona ahadi zako za uchaguzi za kumtoa Mbowe? Kila kijana ulimuahidi utampa wakili wake . Jee huyu katibu wa chadema mwanza vipi?
  3. Mindyou

    Pre GE2025 Mwenyekiti wa BAVICHA: Uchaguzi umekuwa ni bomba la kuua vijana, hatutaruhusu Uchaguzi ufanyike

    Wakuu, Akiwa anazungumza leo huko Singida, Mwenyekiti wa Vijana CHADEMA, Deogratius Mahinyila amesema kuwa vijana wa CHADEMA watahakikisha Uchaguzi wa mwaka huu haufanyiki Mahinyila amesema kuwa mara kwa mara vijana wamekuwa wakiuliwa kipindi cha Uchaguzi, ikiwemo kwenye Uchaguzi wa Serikali...
  4. Mindyou

    Pre GE2025 Mwenyekiti wa BAVICHA Taifa: Mzee Wassira utakuja kumeza maiki. Tuambie Deusdedith Soka yuko wapi?

    Wakuu, Ni wazi kuwa kwa sasa huyu CHADEMA imeanza kazi rasmi ya kuwapopoa CCM na hii ni baada ya Mahinyila leo kumuwashia moto Wassira ========================== Mwenyekiti wa Baraza la Vijana wa CHADEMA (BAVICHA) Taifa, Wakili Deogratius Mahinyila akizungumza katika mkutano wa hadhara na...
  5. Waufukweni

    Pre GE2025 Mwenyekiti wa BAVICHA Taifa amvaa Wasira, adai Serikali ya CCM imetengeneza ugumu wa maisha

    Mwenyekiti wa BAVICHA Taifa, Wakili Deogratias Mahinyila akiwahutubia wananchi wa Mpwapwa mkoani Dodoma amemvaa vikali Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara, Stephen Wasira na kudai kuwa Serikali ya CCM imetengeneza ugumu wa maisha
Back
Top Bottom