deogratius kisandu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Decree Holder

    Mwanza: Deogratius Kisandu akamatwa na Polisi kwa kosa la kuandika matusi mitandaoni

    Jeshi la Polisi Mkoani Mwanza limemkamata Deogratius Kisandu ambaye ni mwalimu wa Shule ya Sekondari Mkolani kwa makosa ya kutumia vibaya mitandao ya kijamii kwa kuandika matusi. Mtuhumiwa huyo anadaiwa kutumia ukurasa wake wa Facebook kuandika matusi kwa takribani wiki nzima.
  2. GuDume

    Deogratias Kisandu amepatwa na nini? Tumsaidieni ushauri kijana mwenzetu

    Week kadhaa sasa nmekuwa nikisoma post za kijana mmoja anaitwa Deogratius Kisandu. Nimekuwa nikisoma kwa umakini na kwa kina kila anachoandika. Nimegundua ana tatizo kubwa sana kisaikolojia na kiakili. Sisemi hajasoma au si msomi, hapana hilo sijasema ila inawezekana amepatwa na msongo wa...
Back
Top Bottom