derby march 8

Derby ( DAR-bee) is a city and unitary authority area on the River Derwent in Derbyshire, England. Derbyshire is named after Derby, which was its original county town. As a unitary authority, Derby is administratively independent from Derbyshire County Council. The population of Derby is 263,490 (2022).
The Romans established the town of Derventio, which was later captured by the Anglo-Saxons and then by the Vikings who made Djúra-bý one of the Five Boroughs of the Danelaw. Initially a market town, Derby grew rapidly in the industrial era and was home to Lombe's Mill, an early British factory and it contains the southern part of the Derwent Valley Mills World Heritage Site. With the arrival of the railways in the 19th century, Derby became a centre of the British rail industry. Despite having a cathedral since 1927, Derby did not gain city status until 1977.
Derby is a centre for advanced transport manufacturing. It is home to engine manufacturer Rolls-Royce and Alstom (formerly Bombardier Transportation) has a production facility at the Derby Litchurch Lane Works; Toyota's UK headquarters is located in the south-west of the city at Burnaston.

View More On Wikipedia.org
  1. upupu255

    Yanga wameshinda derby 3 kati ya 4 za mwisho alizochezeha Ahmed Arajiga

    Takwimu zinaibeba Yanga, mechi za derby za mwisho alizochezeha Ahmed Arajiga Mwamuzi Ahmed Arajiga amechezesha michezo minne ya derby kati ya Yanga na Simba, ambapo Yanga wameshinda mechi tatu na moja Simba. Hizi ni takwimu za matokeo ya michezo aliyochezesha Arajiga: Yanga 2-1 Simba...
  2. Waufukweni

    Tetesi: Inaelezwa Ali Kamwe kafungiwa miaka 2, Ahmed Ally anusurika na rungu la TFF

    Wakuu Kama kweli adhabu ndio hizi una mtazamo gani? Kuna kitu kitapungua kwenye Soka la Bongo? Ikumbukwe, Mameneja hao wa Habari na Mawasiliano wa vilabu vya Simba Sc na Yanga Sc, Ahmed Ally na Ally Kamwe wote waliitwa kwenye Kamati ya Maadili ya Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini (TFF)...
  3. Waufukweni

    Mzee Azim Dewji: Arajiga akichezesha najua Simba wataonewa

    Mdau mkubwa wa michezo nchini na Mwanachama wa Klabu ya Simba, Mzee Azim Dewji amefunguka kuhusu waamuzi ambao watachezesha Dabi ya Kariakoo. Wakati huo huo, kamati ya Waamuzi nchini inemtangaza Ahmed Arajiga kuwa ndio mwamuzi wa mchezo wa tarahe 8 pale Dimba la Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam.
  4. Expensive life

    Viongozi wa Simba tokeni maofisini mwenu tarehe 8 hatutawaelewa

    Derby ya Simba na Yanga ina tamaduni zake, wenzenu wanafukia mbuzi wazima wazima nyie mmekaa tu mnakula viyoyozi. Nyie kaieni tu mkikenua kenua meno humo maofosini, tarehe 8 mechi tunaitaka, kama kuicheza hii mechi hamuwezi, muwapishe makonki wa Derby. Ole wenu
  5. Beira Boy

    Maono: Nimeona Mchezaji wa jezi nyekundu akianguka na hakuamka tena katikati ya mechi

    Amani iwe kwenu wana MUNGU Leo nikiwa katika tafakari usiku wa manane Niliona watu wakiwa uwanjani kukiwa na washangiliaji wengi sana huku team mbili zikicheza moja ilikuwa na jezi nyekundu na moja jezi ya kijani kama majani mabichi kabisa Wakati mpira huo ukaendelea nilimuona mchezaji mmoja...
Back
Top Bottom